Bambushka
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 3,956
- 7,209
Tumbaku na Mazava vilikuwa vinaajiri watu zaidi 2000, ajira za moja kwa moja, bado ajira zingine za suppliers wa mahitaji ya viwandani, madereva, clearing& forwarding, n.k.Magufuli atuambie kwa hili kabla ya kumshambulia abood .ni nani aliyesababisha kiwanda cha tumbaku na kile cha kutengeneza jezi morogoro vifungwe na vijana karibu 2000 kukosa ajira? Kama sio Sera mbovu za kodi za serikali ya Maghufuli?
Daah cha msingi tusomeshe watoto historia darasa la 1 mpaka kidato cha 6.
Everyday is Saturday............................... 😎