tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,642
- 19,141
Hilo jambo la kawaida kwa CCM, meko anasumbuliwa na msongo wa mawazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,.Jana kwenye uzinduzi wa soko alimsimamisha huyo Mbunge na kumsifia kweli kweli na mabasi yake. Leo ghafla kawa Mnyonyaji.
Kwa nini leo amembagaza namna hii? Huu ni unafiki.Mkuu,.
Kumbe ulifatilia na una kumbukumbu,Tena Rais akasema,Avoid awe mfano kwa wengine,anajitolra kutoa mabasi yake kwenda kuzika.
Maana yake nini mkuu nimeupenda huu msemo
Wazigua Wanasema
Kinya Fungo Kihanganywa Na Msuzi!!
Mav* Ya Fungo Yamechanganywa Na MchuziMaana yake nini mkuu nimeupenda huu msemo
Mkuu uligombea wapi ukakosa ubunge? Je ulitumia gharama shilingi ngapi?Hakustahili kuwa rais, maana alichoongea leo kuhusu huyo jamaa, na alichosema jana kumuhusu ni vitu viwili tofauti.
Halafu ukizingatia kuwa yeye ndio aliagiza wagombea wa ccm watangazwe washindi nchi nzima, ndio maana kila mtu inabidi ajue madhara ya madaraka makubwa ya kikatiba kwa cheo cha urais.
Ninazidi kujiridhisha huyu jamaa hakustahili kuwa rais, hasa kwa nchi yenye katiba dhaifu namna hii.
General tyre Arusha aliuziwa nani?Magufuli atuambie kwa hili kabla ya kumshambulia abood .ni nani aliyesababisha kiwanda cha tumbaku na kile cha kutengeneza jezi morogoro vifungwe na vijana karibu 2000 kukosa ajira? Kama sio Sera mbovu za kodi za serikali ya Maghufuli?
Nyumba za serikali?General tyre Arusha aliuziwa nani?
Hizo zinajulikana na ni tofauti na viwanda.Nyumba za serikali?
Mkuu uligombea wapi ukakosa ubunge? Je ulitumia gharama shilingi ngapi?
Kazia hapo hapo na zao la korosho nani kaliwekea siasa za kiki mpaka limeanguka?Magufuli atuambie kwa hili kabla ya kumshambulia abood .ni nani aliyesababisha kiwanda cha tumbaku na kile cha kutengeneza jezi morogoro vifungwe na vijana karibu 2000 kukosa ajira? Kama sio Sera mbovu za kodi za serikali ya Maghufuli?
Leo nikupe like kinafikiHakuna mwekezaji anaeweza kuacha kuwekeza kama huo uwekezaji ni viable!
Ukimpa mtu Kiwanda kilichokufa ukaona hajakifufua jua kuna tatizo sio ku jump kwny conclusion, udhalilishaji na kuchonganisha Raia na Mbunge wao kuwa Wanakufa kwa stress za kukoss ajira, kwani Aboud ndio anakusanya kodi zao
Huna majibu positive, ni mtu wa kulalama tu.Nikigombea ndio ninapaswa kuhoji kuhusu uchaguzi wa kishenzi?
Huna majibu positive, ni mtu wa kulalama tu.
Huna hoja.Mkulu hua anaenda na vibe lililopo wakati huo.
Huyo ni mgonjwa wa bipolar disorder , saikatriki kesi usishangae .Hakustahili kuwa rais, maana alichoongea leo kuhusu huyo jamaa, na alichosema jana kumuhusu ni vitu viwili tofauti.
Halafu ukizingatia kuwa yeye ndio aliagiza wagombea wa ccm watangazwe washindi nchi nzima, ndio maana kila mtu inabidi ajue madhara ya madaraka makubwa ya kikatiba kwa cheo cha urais.
Ninazidi kujiridhisha huyu jamaa hakustahili kuwa rais, hasa kwa nchi yenye katiba dhaifu namna hii.