Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,783
- 28,800
Bila kupepesa macho ni wazi kuwa Mwenyekiti ni mnafiki sana
Jamaa hana sifa ya uraisi, basi tu system yetu ni mbovu
Jamaa hana sifa ya uraisi, basi tu system yetu ni mbovu
Yeye mwenyewe amekuwa rais pasipo kuchaguliwa na wenye nchi wananchiAngeinyesha msisitizo kwa kumvua kabisa uanachama ili akose ubunge,undumilakuwili hatuutaki sisi.
Meko ni tapeliNilisema mapema leo kuwa Meko hana tofauti na wale jamaa wa 'ILE HELA TUMA KWENYE NAMBA HII'
Alisema anampenda sana kama unakumbukaJe, Chairman wa Ccm hakujua kuwa huyu ndugu Abood sio mtu mzuri,maana ametumia viwanda alivyonunua kukopa pesa badala ya kuviendeleza. Na kwa sababu hiyo sasa hivi kuna upungufu wa mafuta ya kupikia?
Nini hii habari ya kumbagaza mbunge ambae wewe mwenyekiti ulibariki apigiwe kura na wananchi baada ya NEC ya Ccm kumpitisha awe mgombea ubunge! Wewe haukuwaambia watu wa Morogoro wampe kura?
Ndiyo maana tunasema kuwa ukiwa ccm akili lazima zikutoke, huoni connection hapo!!!Je, katiba ya JMT ina mahusiano gani na Ccm kupitisha mgombea ubunge ambae alinunua viwanda na kisha kuvidumaza?
Hapo kunakitu kinatakiwa kwa abood, akikifanya tu mtaona anasifiwa.Kwa Lugha nyepesi na ukijiongeza zaidi hapo Mbunge Abood anaambiwa ajenge Viwanda zaidi ili Ajira zipatikane na Serikali iweze Kukusanya Kodi zaidi.