First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
Wasaalamu mabibi na mabwana na wasio mabibi wala mabwana humu jamvini,
Hii zaidi itawalenga wale ambao walipokuwa katika mahusiano ya walishaanza kutekeleza yale matendo ya ndoa sio ngono peke yake kiufupi huku kwetu wanasema "hukumnunua mbuzi kwenye gunia".
1.Ulijua kabisa hana uwezo wa kupiga magoli ya kutosha tangu mkiwa wachumba tu lakini ukakubali kuolewa nae.
2. Ulijua kabisa ana bwawa/kibamia lakini ukakubali kuolewa nae.
3. Ulijua kabisa ni mkorofi na alishawahi kukutandika makofi mara kibao tu.. lakini hukumwacha ukakomaa nae
4. Ulijua kabisa ni mlevi lakini hukuona kama ni la msingi
5. Ulijua kabisa ni malaya asieweza kuacha hizo tabia lakini ukaona haikupi shida.
6. Ulijua kabisa ni kembamaba kaangukia bafuni ilhali we unapenda wenye makalio mabubwa,lakini ukaamua kubebana nae.7. Ulijua kabisa ni mbishi kila unachomwambia lazima akubishie hata kama ni ya msingi lakini ukaona usivunje mahusiano hayo.
8. Ulijua kabisa ni bahili tangu mkiwa wachumba kukununulia soda tu ilikuwa mbinde leo unategemea akununulie gari.
9. Ulijua kabisa kuwa ni masikini lakini ukaamini mkatafute wote mtakapooana leo mwaka wa 20 hakuna mlichoendeleza.
10. Ulijua kabisa hawajali ndugu zako tangia mwanzo hakutaka hata mawasiliano na baba, mama, wala kaka au dada yako ila ukaona huyo ndo wako wa kufa na kuzikana.
Hayo yote na mengine uliyafahamu kabla hamjafunga ndoa, lakini mkaamua kuchukua maamuzi magumu ya kufunga pingu za maisha leo mna watoto wawili, au watatu au zaidi, hata kama kwa bahati mbaya mungu hajawajalia mtoto) ndo unayaoa hayo mapungufu ya mwenzio.
Sio kwa majirani, sio kwa majirani, sio kwa marafiki hadi kwenye mitandao sasa ni kumuanika mwenzio tu vipi na yeye akiamua kukuaniaka.
Hayo sio maisha kwanini hukuchukua maamuzi magumu ambayo yatakuja kukuumiza kwa muda ule tu ila baadae yakakupa furaha kwa kumtafuta kwenye sifa unazozitaka.
Wenu
FB.
Hii zaidi itawalenga wale ambao walipokuwa katika mahusiano ya walishaanza kutekeleza yale matendo ya ndoa sio ngono peke yake kiufupi huku kwetu wanasema "hukumnunua mbuzi kwenye gunia".
1.Ulijua kabisa hana uwezo wa kupiga magoli ya kutosha tangu mkiwa wachumba tu lakini ukakubali kuolewa nae.
2. Ulijua kabisa ana bwawa/kibamia lakini ukakubali kuolewa nae.
3. Ulijua kabisa ni mkorofi na alishawahi kukutandika makofi mara kibao tu.. lakini hukumwacha ukakomaa nae
4. Ulijua kabisa ni mlevi lakini hukuona kama ni la msingi
5. Ulijua kabisa ni malaya asieweza kuacha hizo tabia lakini ukaona haikupi shida.
6. Ulijua kabisa ni kembamaba kaangukia bafuni ilhali we unapenda wenye makalio mabubwa,lakini ukaamua kubebana nae.7. Ulijua kabisa ni mbishi kila unachomwambia lazima akubishie hata kama ni ya msingi lakini ukaona usivunje mahusiano hayo.
8. Ulijua kabisa ni bahili tangu mkiwa wachumba kukununulia soda tu ilikuwa mbinde leo unategemea akununulie gari.
9. Ulijua kabisa kuwa ni masikini lakini ukaamini mkatafute wote mtakapooana leo mwaka wa 20 hakuna mlichoendeleza.
10. Ulijua kabisa hawajali ndugu zako tangia mwanzo hakutaka hata mawasiliano na baba, mama, wala kaka au dada yako ila ukaona huyo ndo wako wa kufa na kuzikana.
Hayo yote na mengine uliyafahamu kabla hamjafunga ndoa, lakini mkaamua kuchukua maamuzi magumu ya kufunga pingu za maisha leo mna watoto wawili, au watatu au zaidi, hata kama kwa bahati mbaya mungu hajawajalia mtoto) ndo unayaoa hayo mapungufu ya mwenzio.
Sio kwa majirani, sio kwa majirani, sio kwa marafiki hadi kwenye mitandao sasa ni kumuanika mwenzio tu vipi na yeye akiamua kukuaniaka.
Hayo sio maisha kwanini hukuchukua maamuzi magumu ambayo yatakuja kukuumiza kwa muda ule tu ila baadae yakakupa furaha kwa kumtafuta kwenye sifa unazozitaka.
Wenu
FB.