Komeo JF-Expert Member May 3, 2011 2,498 1,171 Nov 19, 2012 #2 Hizi pikipiki za mchina mbona balaa. Asubuhi nimeona nyingine humuhumu imebeba watu wawili na ng'ombe kapakatwa kwa katikati!
Hizi pikipiki za mchina mbona balaa. Asubuhi nimeona nyingine humuhumu imebeba watu wawili na ng'ombe kapakatwa kwa katikati!
Baba V JF-Expert Member Dec 29, 2010 19,482 9,517 Nov 19, 2012 #3 Walivyoziita bodaboda ndo walimaanisha hivyo
Money Stunna JF-Expert Member Aug 9, 2011 13,054 6,281 Nov 19, 2012 Thread starter #4 Komeo said: Hizi pikipiki za mchina mbona balaa. Asubuhi nimeona nyingine humuhumu imebeba watu wawili na ng'ombe kapakatwa kwa katikati! Click to expand... ukiona kampala boda boda zinavyopakia utashangaa,watu adi 6
Komeo said: Hizi pikipiki za mchina mbona balaa. Asubuhi nimeona nyingine humuhumu imebeba watu wawili na ng'ombe kapakatwa kwa katikati! Click to expand... ukiona kampala boda boda zinavyopakia utashangaa,watu adi 6
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Aug 10, 2012 47,374 40,420 Nov 19, 2012 #6 Ukfka salama shukuru, sababu hata ukiwa peke yako waweza danja
J JF Tanga one Member Nov 19, 2012 28 4 Nov 20, 2012 #7 Aah, hata kama ni dhiki jamani! C bora uchapuke faster, huyo kama anabembea vile!