Huu ni Ukweli, Tanzania na Afrika hatuwezi kuidhibiti Korona tena, its too late Labda..

chipa GM

JF-Expert Member
Jan 21, 2012
1,767
2,857
Huu ni Ukweli, Tanzania na Africa hatuwezi kuidhibiti Korona tena, its too late.
Km tungewahi kufunga mipaka yetu mwezi Machi mwanzoni leo tungekuwa tunachelea tu na dhana ya kuchapa kazi ingekuwa sawia.

HatukufUNGA Mipaka Africa..Tena Tanzania ndiyo tumefunga juzi juzi tumeshachelewa..hatuwezi tena. Kilichobaki ni kusublia tu nature ituhukumu.

Kwa life style yetu, kipato chetu viongozi wetu wangeusoma upepo mapema,,maamuzi ya kufungia mipaka Tanzania na kuruhusu only transport ya goods km yangefanyika mapema mwezi machi au february to leo tungekuwa tunafurahia. Watu tulishauri sana..Jf humu watu tulishauri, kwenye magroup ya whatsapp..Viongozi chukueni ushauri kwenye mitandao ya kijamii badala ya kukamata watu.

WHO wanadai kirusi cha korona kinaweza kukaa hewani kwa 4 hours, kwahyo hizi sanitizer, osha mikono au masks haziwezi ondoa tatizo. Afu mara ya kwanza tulipigwa propanganda waafrika huu ugonjwa hauwezi ua wafrik(WAKATI BLACM AMERICAN NDIYO WANAKUFA WENGI), mara hausurvive kweli joto ( wakati IRAN, QATAR, DUBAI WATU WALISHAANZA KUFA NA WANAJOTO KUBWA), mara sijui maugali tunayokula yanakinga sana..Hivi wewe mwafrika unakinga kuliko mzungu...nani alitudanganya ugali ni mzuri kwa afya.

Kwa sasa tusubilie tu wazungu wapate dawa au kinga, chanjo ili tuweze kutoka hapa. La sivyo hali ni mbaya. Jilinde wewe binafsi, lengo lako kwa mwaka huu iwe kubakia na afya na njema pamoja na uwapendao..pesa tutatafuta 2021.

Hali ni mbaya


Salute
 
Na ninadhani sehemu zenye maambukizo makubwa kama DSM na Arusha .hewa ikisaidiwa na upepo ni kisambazio kikuu cha huu ugonjwa. Ni hatari
 
Nadhani Africa conspiracy zilituharibu na kudhani corona ni ya watu weupe, pia tukachelewa kufunga mipaka tukidhani we are exceptional from corona, ingawa mipaka iko wazi no lockdown Hali imekuwa ngumu kiafya hata kiuchumi. Lord have mercy on us.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema watu waovu wagumu kufa Hadi Sasa umechukua watu wema wenye faida kwa Jamii waovu wasio na faida wangalipo
 
Na ninadhani sehemu zenye maambukizo makubwa kama DSM na Arusha .hewa ikisaidiwa na upepo ni kisambazio kikuu cha huu ugonjwa. Ni hatari
Itafikia kipindi hata huko mikoani hali itakuwa kama hapa Dar tu. Gonjwa lilipotamalaki Wuhan, serikali ya China wakaufunga mji. wakaanza ku-famigate mji mzima kila baada ya masaa kazaa na wataalamu wa afya wakiingia kila apartment kupima mtu mmoja mmoja na kuwachukua wale wote waliokuwa suspected. Serikali iliweka namba maalumu za kama unahitaji mahitaji unataja mtaa unaoishi na namba ya block uliyokuwepo wanakuletea ulivyoagiza mpaka mlangoni. Mwisho wasikiliza walifanikiwa na mji ukafunguliwa now they are enjoying what their government did strategically against Corona.
Kwa Tanzania hii haiwezekani kwa jinsi maisha na vipato vya wananchi wengi (hand to mouth jobs) lazima watu watoke wakatafute cha kununua mahitaji siku hiyo. Kwa kulikabili hili basi serikali ingefunga mipaka mapema( kuruhusu magari ya mizigo kupita baada ya madereva kupimwa).
Ingezuia ndege za kigeni kutua nchini huku ikiandaa mikakati ya kukabiliana in any case one found covid 19 positive maana mipaka yetu ina njia za panya nyingi. Kwa hili tungefanikiwa sana.
Sasa najiuliza na sipati jibu sahihi kutokana na matendo ya serikali yetu na zile kauli za "Tumejizatiti kukabiliana na Corona" 😂😂
Leo nasikia mtu anasema ziwekwe namba maalumu za simu eti wananchi waichangie serikali ili ipate pesa kukabiliana na Corona🤔
What a shame!!
 
Back
Top Bottom