Huu ni ukatili, uchawi au nini

me and I

JF-Expert Member
Jul 8, 2016
1,540
1,355
4ed28d6a39d8f920128b53b7b509950d.jpg

c40ddeb9bfe0329420b7add3c05eff8c.jpg
f8b3ab396a8a9696e7de5426e6e4960e.jpg


Habari za muda huu wana Jf, siku kadhaa zilizopita kumekuwa na picha inasambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na Huyo kaka aliekutwa ndani akiwa hivo.
Mm swali langu ni je huo ni ugonjwa gani? Au ushirikina? Au ukatili kafanyiwa daah yaani nikiiangalia hii Picha inanitia uchungu sana .. Wanadamu tumekuwa wakatili kiasi hiki. Anyway madocta na wataalamu wa afya njoeni mtujuze hili, na Mwenye kujua imetokea maeneo gani pia atujuze.

May his soul rest in piece
 
Kuna vitu ambavyo vinaweza kutendeka katika ulimwengu wa roho kisha vikaja kujidhihirisha ktk mwili wa kawaida.

Uchawi upo na unatenda kazi mpaka sasa!
 
Yupo hai? Amekufa sio? Mtu akifa lazima mwili wake huvimba katika kuelekea hatua za kuoza na zingine, hii na baada ya siku kadhaa kupita. Kama amekutwa amekufa baada ya siku kadhaa itakuwa ni hivyo ila kama ilimtokea yupo hai, sielewi ni nini.
 
inaonesha hii wana act movie - lakini makeup na utengenezaji wa mwili ili ufanane na tamthili ndio tatizo
 
Duuh
Kama hajafa basi duniani kuna magonjwa ya ajabu

Maana uchawi desgn kama.haupo au upo hata sielewi
 
Mbona inaonekana vizuri Tu kwamba sio binadamu halisi!, Ni yale mamidoli, ila sijajua lengo Ni kutengenezea muvi au nini?.
 
Huo ni mwili (maiti) kama miili mingine sema haukifadhiwa kama ilivyo desturi ya kuhifadhi mwili.
 
Back
Top Bottom