REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,449
- 9,372
Kwanza niweke wazi miye sipo timu yoyote ile ila ni mdau wa huu mziki tangu unaanza kukubalika nimekuwa mdau kabla
Prof Jay ajatoka
Gangwe mob, juma nature hawajatoka
Mda mabaga fresh wapo hot nature ajulikani
Enzi za mama mwenye nyumba nk
Sogy dog dog hunter, CAZ T wanasumbua walk man zetu
nk kwa hiyo kidogo historia ya mziki huu tangu uanze kulipa naijuia
Sasa nachotaka kusema nini diamond ni msanii mzuri, ana uwezo mzuri sana ila tatizo moja Kijana hajiamini anataka yeye awe yeye tu hilo ndio tatizo lake yeye na uongozi wao hawataki kubali changamoto ambazo ndio zilizowezesha diamond akatoka kimuziki endapo wasanii waliotangulia wangekuwa na roho ya husda kama yake diamond asingetoka
Diamond na uongozi wake hawataki kuona msanii mpya au wazamani anachukua nafasi ya kimuziki yani msanii asikike kazi zake hii ipo wazi kabisa
Kwaiyo wasanii mnatoa nyimbo angalieni hilo suala katika promo zenu msije kuta nyimbo zenu nzuri ila zinafanyiwa figisu ili zisitambe kwa lengo moja tu nyimbo nzuri zikiwa nyingi basi upo uwezekano jamii ikamzoea diamond nikaona kawaida tu hivyo juhudi zimekuwepo kuhakikisha nyimbo nzuri za wasanii wengine hazipati nafasi ili diamond akiachia wimbo usumbue hii ipo wazi
Na hii nimebaini baada ya huu ugovi wa hawa watu diamond na omy dimpoz yani baada ya dimpoz na kiba kuachia wimbo nyie mmeona kama diamond alipanic hivi kaachia nyimbo kwa fujo
Kaenda media kaongea vitu vya ajabu kwa level yake kimuziki ili budi astilli maneno ila Kijana kapanic
Hivyo wasanii angalieni huyu Kijana si mzuri kabisa
Fikilia hizo tabia angekuwa nazo
Dully
Prof
Nk
Je wasanii kama kina diamond wangesikika
Ni mtazamo tu yani kuwa na tabia ya wao kutaka kuwa wao tu
Prof Jay ajatoka
Gangwe mob, juma nature hawajatoka
Mda mabaga fresh wapo hot nature ajulikani
Enzi za mama mwenye nyumba nk
Sogy dog dog hunter, CAZ T wanasumbua walk man zetu
nk kwa hiyo kidogo historia ya mziki huu tangu uanze kulipa naijuia
Sasa nachotaka kusema nini diamond ni msanii mzuri, ana uwezo mzuri sana ila tatizo moja Kijana hajiamini anataka yeye awe yeye tu hilo ndio tatizo lake yeye na uongozi wao hawataki kubali changamoto ambazo ndio zilizowezesha diamond akatoka kimuziki endapo wasanii waliotangulia wangekuwa na roho ya husda kama yake diamond asingetoka
Diamond na uongozi wake hawataki kuona msanii mpya au wazamani anachukua nafasi ya kimuziki yani msanii asikike kazi zake hii ipo wazi kabisa
Kwaiyo wasanii mnatoa nyimbo angalieni hilo suala katika promo zenu msije kuta nyimbo zenu nzuri ila zinafanyiwa figisu ili zisitambe kwa lengo moja tu nyimbo nzuri zikiwa nyingi basi upo uwezekano jamii ikamzoea diamond nikaona kawaida tu hivyo juhudi zimekuwepo kuhakikisha nyimbo nzuri za wasanii wengine hazipati nafasi ili diamond akiachia wimbo usumbue hii ipo wazi
Na hii nimebaini baada ya huu ugovi wa hawa watu diamond na omy dimpoz yani baada ya dimpoz na kiba kuachia wimbo nyie mmeona kama diamond alipanic hivi kaachia nyimbo kwa fujo
Kaenda media kaongea vitu vya ajabu kwa level yake kimuziki ili budi astilli maneno ila Kijana kapanic
Hivyo wasanii angalieni huyu Kijana si mzuri kabisa
Fikilia hizo tabia angekuwa nazo
Dully
Prof
Nk
Je wasanii kama kina diamond wangesikika
Ni mtazamo tu yani kuwa na tabia ya wao kutaka kuwa wao tu