FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Ajali nyingi zitokeazo watu wamekuwa wakipoteza maisha hasa ktk magari yenye bonet 'pua'Kama niliyoyataja hapo juu.sasa nini kifanyike kuepusha ajali?
Inabidi kati ya bonet na anapokaa dereva ziwepo spring ngumu za vyuma zile za mzunguko zinazoweza kubonyea ikitokea mgongano zisizopungua kumi zenye uwezo wa kuhimili kishindo hapo tutaokoa dereva na abiria waliomo ndani,kwenye mabasi dawa naitafuta kwa msaada wa Mungu.
Makampuni yanayounda magari mkiona ni idea nzuri basi mniandalie us dollar elfu hamsini.ili nimgaie na mwasisi wa jamii forums.
Asante
Inabidi kati ya bonet na anapokaa dereva ziwepo spring ngumu za vyuma zile za mzunguko zinazoweza kubonyea ikitokea mgongano zisizopungua kumi zenye uwezo wa kuhimili kishindo hapo tutaokoa dereva na abiria waliomo ndani,kwenye mabasi dawa naitafuta kwa msaada wa Mungu.
Makampuni yanayounda magari mkiona ni idea nzuri basi mniandalie us dollar elfu hamsini.ili nimgaie na mwasisi wa jamii forums.
Asante