Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,072
- 18,258
1. Ana chat na watu kibao ila simu yake haina msg hata moja kila siku
2. Rafiki zake wengi ni wanaume tena waliomzidi umri
3. Huwezi kusikia anazungumzia mapishi
4. Anapenda kula mitaani
5. Hana uhusiano wa karibu sana na mama ake, inaweza pita hata miezi mitatu hajawasiliana naye.
6. Anatongozwa na wanaume wengi na akitongozwa anakuambia kwanini amewakataa
7. Ya mwisho anafungua soda na meno....
2. Rafiki zake wengi ni wanaume tena waliomzidi umri
3. Huwezi kusikia anazungumzia mapishi
4. Anapenda kula mitaani
5. Hana uhusiano wa karibu sana na mama ake, inaweza pita hata miezi mitatu hajawasiliana naye.
6. Anatongozwa na wanaume wengi na akitongozwa anakuambia kwanini amewakataa
7. Ya mwisho anafungua soda na meno....