Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,403
Msomi hi!🖐️🖐️🖐️Nafikiri ni alopecia hiyo.
Msomi hi!🖐️🖐️🖐️Nafikiri ni alopecia hiyo.
Inaonesha uko mchafu hata masikio huyasafishi. Halafu mnakuja hapa JF na kulialia kuwa hatupati wachumba
Hapo nakiete mwenge haijapatikana sijui ni duka gani la dawa kwa Dar inaweza kupatikana.Hio minoxdil sijui kama ataipata bongo labda aagize eBay, pia kama ni matatizo ya ngozi kwa mda mfupi inaweza kumsaidia ila kama ni upara wa asili labda aende Uturuki kuziotesha
Tumia Dermovate Ointment, ni Tsh. 18,000.00Habari wakuu? Nimeambatanisha picha hapa chini,kwa sasa nipo mbali na hospital kubwa nilitaka kujua kwanza kwa sasa nina miezi nane ,nywele hazioti sehemu moja inabaki kama kishilingi hivi.
View attachment 1734306
Mkuu,huo ugonjwa unawapata watoto pia.Ghai uo ugonjwa cjui jina ila nnachojua unawafata WAPIGA NYETO ukipiga nyeto sanaa kuna protein ya makuzi ya nywele inapotea so lazna upate shida ya kuota nywele CHAPUTA
SAMI ABRASI Mjusi Damu Yake Ukipakaa Sehemu Ambapo Hapaoti Nywele Zitaota Nywele Hizo, Pia Ngozi Take Ukibandika Sehemu Iliyovimba Kwa Maradhi Ya ( Hernia ) Kila siku Usiku Bandika Mpya Kwa Siku 7 Uvimbe UtaondokaHabari wakuu? Nimeambatanisha picha hapa chini,kwa sasa nipo mbali na hospital kubwa nilitaka kujua kwanza kwa sasa nina miezi nane ,nywele hazioti sehemu moja inabaki kama kishilingi hivi.
View attachment 1734306
Asante sanaAlopecia areata......pia utokea kwa njia ya kurithi au kuwa na stress sana
Kiasi mwili unajishambulia
Matumizi ya dawa zake zikipitiliza huwa zinaathiri mfumo wa pituitary gland
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Ndio mkuu. Maduka ya kawaida na inatibu vizuri kabisa.Asante hii inapatikana maduka ya kawaida?
Ni dawa ya kutibu kipara pia?Ugonjwa unaitwa Alopecia Areata....Ni autoimmune disease...Mara nyingi hakuna sababu maalum
Paka dawa moja inaitwa Minoxdill solution 5%