Huu ni udhalilishaji wa Polisi kuwavisha mabango watuhumiwa!!

tikatika

JF-Expert Member
May 6, 2011
2,330
4,115
Kumeibuka utaratibu ambao watuhumiwa huvishwa mabango na kupigwa picha kisha kubandikwa police.
Mabango yanakua na maandishi ya kosa lako .
Kwa mfano wewe ukituhumiwa kwa wizi bango linaandikwa

[ mimi naitwa fulani ni mwizi wa kitu fulani]

Au.[mimi naitwa fulani ni mchochezi]

Je ni sawa kwa police kuwaita watuhumiwa ni watendaji wa kosa fulani??

Je kisheria ni sawa police kutumia mfumo huo?
Kumbuka police hawana haki ya kuthibitisha kosa la mtu bali mahakama. Je police wakibandika mimi ni mwizi na picha zangu zikasambaa katika mitandao, baadaye nikapelekwa mahakamani nikashinda kesi itakuaje? Police watanisafishaje? Mwenye mamlaka ya kumtia mtu hatiani ni mahakama tu! Kwann police waniite mchochezi baadaye nikaachiwa huru na huku nimedhalilishwa?? Haya mabango ni udhalilishaji wa haki za binadamu.

Tuwapinge police kutuvisha mabango na kutupiga picha hawana haki hiyo kisheria niwadhalilishaji.

4bfe806aab34cf1caaf96d865d94e686.jpg
 
Hiyo ipo duniani kote
Inatumika kuweka kumbukumbu,kama huyo mwalimu ametoka zanzibar amekwenda kufanya fujo Katoro,
Akienda mbeya,akifanya kosa hilo hilo tayari ataingia kwenye kundi la wahalifu sugu
 
Kumeibuka utaratibu ambao watuhumiwa huvishwa mabango na kupigwa picha kisha kubandikwa police.
Mabango yanakua na maandishi ya kosa lako .
Kwa mfano wewe ukituhumiwa kwa wizi bango linaandikwa

[ mimi naitwa fulani ni mwizi wa kitu fulani]

Au.[mimi naitwa fulani ni mchochezi]

Je ni sawa kwa police kuwaita watuhumiwa ni watendaji wa kosa fulani??

Je kisheria ni sawa police kutumia mfumo huo?
Kumbuka police hawana haki ya kuthibitisha kosa la mtu bali mahakama. Je police wakibandika mimi ni mwizi na picha zangu zikasambaa katika mitandao, baadaye nikapelekwa mahakamani nikashinda kesi itakuaje? Police watanisafishaje? Mwenye mamlaka ya kumtia mtu hatiani ni mahakama tu! Kwann police waniite mchochezi baadaye nikaachiwa huru na huku nimedhalilishwa?? Haya mabango ni udhalilishaji wa haki za binadamu.

Tuwapinge police kutuvisha mabango na kutupiga picha hawana haki hiyo kisheria niwadhalilishaji.

4bfe806aab34cf1caaf96d865d94e686.jpg
wana hasira miezi minne hawalipwi mishahara
 
Hiyo ipo duniani kote
Inatumika kuweka kumbukumbu,kama huyo mwalimu ametoka zanzibar amekwenda kufanya fujo Katoro,
Akienda mbeya,akifanya kosa hilo hilo tayari ataingia kwenye kundi la wahalifu sugu

Nani humtia mtu hatiani? Police au mahakama??
Je ukipigwa picha baadaye ukashinda kes mahakamani inakuaje?

Na usiangalie upande wa kisiasa tu maana huku ww ndio huwa kipofu, huoni hata mantiki za kisheria. haya hufanyika hata kwa watuhumiwa wengine. Na kama unaangalia kisiasa tu kuna wengine walikua na kesi Dodoma za uchochez na wameshinda, hapo bango lile hua na nguvu gani zaid ya udhslilishaji??
 
Sio kazi ya police kukusafisha kwao your a suspect until the court of law find your true status whether guilt or innocent....picha plus bango it's international standard for suspect and criminals record keeping.

Bahati mbaya nyie nyie ndio mnazisambaza picha za wapendwa wenu mitandaoni mkidhani mnasaidia kumbe mnawadhalilisha.
 
Hiyo ipo duniani kote
Inatumika kuweka kumbukumbu,kama huyo mwalimu ametoka zanzibar amekwenda kufanya fujo Katoro,
Akienda mbeya,akifanya kosa hilo hilo tayari ataingia kwenye kundi la wahalifu sugu
Duniani kote wapi? Acha uongo kama alifanya fujo mbona mahakama ilimwachia? Mambo haya ya ajabu ajabu yapo Tanzania tu Nchi zingine hawana ujinga huo watambua kuwa mahakama ndiyo huthibitisha kosa la mtu.
 
Nani humtia mtu hatiani? Police au mahakama??
Je ukipigwa picha baadaye ukashinda kes mahakamani inakuaje?

Na usiangalie upande wa kisiasa tu maana huku ww ndio huwa kipofu, huoni hata mantiki za kisheria. haya hufanyika hata kwa watuhumiwa wengine. Na kama unaangalia kisiasa tu kuna wengine walikua na kesi Dodoma za uchochez na wameshinda, hapo bango lile hua na nguvu gani zaid ya udhslilishaji??
Kushinda kesi hakumaanishi hukutenda kosa,pengine ni kosa dogo tu kwenye hati ya mashitaka
Mtu kamtukana JPM lakini kapeta kwa kuwa kamtukana JPM na sio magufuli,lakini wote tunajua alimtukana magufuli
Acha wapigwe picha zinasaidia kuweka kumbukumbu ya uhalifu
 
Duniani kote wapi? Acha uongo kama alifanya fujo mbona mahakama ilimwachia? Mambo haya ya ajabu ajabu yapo Tanzania tu Nchi zingine hawana ujinga huo watambua kuwa mahakama ndiyo huthibitisha kosa la mtu.
Marekani wanafanya
 
Kumeibuka utaratibu ambao watuhumiwa huvishwa mabango na kupigwa picha kisha kubandikwa police.
Mabango yanakua na maandishi ya kosa lako .
Kwa mfano wewe ukituhumiwa kwa wizi bango linaandikwa

[ mimi naitwa fulani ni mwizi wa kitu fulani]

Au.[mimi naitwa fulani ni mchochezi]

Je ni sawa kwa police kuwaita watuhumiwa ni watendaji wa kosa fulani??

Je kisheria ni sawa police kutumia mfumo huo?
Kumbuka police hawana haki ya kuthibitisha kosa la mtu bali mahakama. Je police wakibandika mimi ni mwizi na picha zangu zikasambaa katika mitandao, baadaye nikapelekwa mahakamani nikashinda kesi itakuaje? Police watanisafishaje? Mwenye mamlaka ya kumtia mtu hatiani ni mahakama tu! Kwann police waniite mchochezi baadaye nikaachiwa huru na huku nimedhalilishwa?? Haya mabango ni udhalilishaji wa haki za binadamu.

Tuwapinge police kutuvisha mabango na kutupiga picha hawana haki hiyo kisheria niwadhalilishaji.

4bfe806aab34cf1caaf96d865d94e686.jpg
Mkuu Tika Tika, huu ni udhalilishaji na ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadamu.

Tanzania inafuata mfumo wa sheria wa nchi za Jumuiya ya Madola, ambapo mtu anahesabika hana hatia hadi pale atakapotiwa hatiani na mahakama yenye mamlaka sahihi, "not guilt until proven guilt with the court of competent jurisdiction"

Hiki kinachofanywa sio tuu na polisi wetu bali na mahakama zetu kuruhusu watuhumiwa kupigwa picha na vyombo vya habari, wakiwa mikononi mwa polisi au ndani ya vyumba vya mahakama, ni kinyume cha sheria.

Pasco
Rejea
Bango la "Mwizi Mkenya!" Mlimani City ni Ubaguzi!, Udhalilishaji ...
 
Hiyo ipo duniani kote
Inatumika kuweka kumbukumbu,kama huyo mwalimu ametoka zanzibar amekwenda kufanya fujo Katoro,
Akienda mbeya,akifanya kosa hilo hilo tayari ataingia kwenye kundi la wahalifu sugu
Dunia ipi?
Kwanza mtu anakuwa mtuhumiwa. Ni baada ya mahakama mtu anakuwa mharifu. Huu mtindo mpya ni kuweka the cart before the horse.
 
Nchi kama wanaiga vitu toka marekani mbona kule marekani wana demokrasia hawana ujinga wa kuzuia mikutano ya vyama wala hawatumii ruzuku za chama wala pesa za umma kudhoofisha vyama pinzani kama Tanzania ilivyokuwa sasa pesa zote za kubana matumizi anakula Lipumba hata pesa ya posho ya mwenge zote atapewa lipumba, yaani wanabana matimizi huku pesa hizo wanazitumia kuvuruga CUF na kuwakoroga Wapinzani badala ya kujenga viwanda, kununulia dawa, kuijenga Dodoma nk, pesa za maafa bukoba , madawati wanawachangisha watu , lakini pesa za kuvuruga vyama wanachukua Hazina ni Aina fulani ya ufisadi hatari kuliko Escrow.
 
Marekani kila jimbo na sheria zake litaje jimbo lenye ujinga huo
Marekani karibu majimbo yote wanatumia sytem hiyo tena wenyewe wanaaita "MUG SHOTS" na uki google hiyo utakutana na picha za celebrity kibao ambazo wamepigwa baada ya kukamatwa..na hizo picha ni kitu cha kawaida na siyo marekani tu uki google au ukiingia Wikipedia wameelezea vizuri.
 
inmate.jpg
Miguel-Jaime-Jr-27043928_22556_ver1.0_640_480.jpg
images.jpg
tupac.jpg
akon.jpg
Duniani kote wapi? Acha uongo kama alifanya fujo mbona mahakama ilimwachia? Mambo haya ya ajabu ajabu yapo Tanzania tu Nchi zingine hawana ujinga huo watambua kuwa mahakama ndiyo huthibitisha kosa la mtu.
 
Dunia ipi?
Kwanza mtu anakuwa mtuhumiwa. Ni baada ya mahakama mtu anakuwa mharifu. Huu mtindo mpya ni kuweka the cart before the horse.
Mkuu hizi picha kwa lugha informal zinaitwa mugshots, mtu anapigwa akiwa ametazama camera na akiwa amegeukia pembeni.
Na hapigwi pale mahakama inapomtia hatiani, ila hupigwa pale mtuhumiwa anapokamatwa na kupelekwa au kushikiliwa kituoni.
Lengo uwa ni kuweka kumbukumbu za huyo mtuhumiwa ikiwemo urefu wake, jina lake, umri, na kosa analotuhumiwa kutenda.
Ukitaka kujihabarisha zaidi google police mugshots.
 
Nani humtia mtu hatiani? Police au mahakama??
Je ukipigwa picha baadaye ukashinda kes mahakamani inakuaje?

Na usiangalie upande wa kisiasa tu maana huku ww ndio huwa kipofu, huoni hata mantiki za kisheria. haya hufanyika hata kwa watuhumiwa wengine. Na kama unaangalia kisiasa tu kuna wengine walikua na kesi Dodoma za uchochez na wameshinda, hapo bango lile hua na nguvu gani zaid ya udhslilishaji??
Mkuu uko sahihi kabisa, kwa mtazamo wangu. Huu ni udhalilishaji ambao haupaswi kushabikiwa na watu wenye kujitambua. Polisi hawana mamlaka kisheria kumtangaza mtu kuwa ni mchochezi kabla ya mahakama kumthibitisha. Hata huko nchi za wenzetu, huwa tunaona polisi wanapiga picha kwa namna ile wahalifu,lakini bado hutumia neno mtuhumiwa ili kulinda haki ya mtu huyo ya kutotambulika kama mhalifu hadi pale itakapothibitishwa na mahakama.
 
Back
Top Bottom