sungusungu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 3,055
- 715
Dah,kuna watu wanaakili ndogo,yaani Slaa ni mtu makini?kweli huu ni mwisho wa dunia,Mtu makini anauza majimbo ya wabunge na kutimua timua viongozi kwa majungu.
Mawazo yako hayawez kuwa ya watanzania wote! Hayo majungu ya kimakundi.Pia inaonesha huna ufahamu na mwisho wa Dunia! Dr Slaa,is clean.!