T-1000
Senior Member
- Feb 21, 2011
- 144
- 42
unaongea pumba tu, haingii akilini mwa mtu mwenye akili timamu, ID tu ya hii thread ina matatizo, piganeni hhadi mwisho msikate tamaa but watanzania wa leo sio wa mwaka 47, mshindwe kabisaTunteneke,umeongea ukweli,DR slaa ni fisadi kama ccm wenzake,na yule mchumba wake ndio anamchanganya kabisa,Namshauri mchumba wa Slaa asome alama za wakati,anamuharibu slaa na sasa slaa hafai kabisa.