Hadrianus
JF-Expert Member
- Feb 19, 2020
- 2,112
- 5,208
"Kiukweli tatizo sio kibunda bali ni taarifa mkuu (kamtaja member) Watanzania wengi hawajui kuwa baadhi ya safari za kutalii nje ya nchi ni cheap zaidi kuliko hata za hapa ndani.Ametangaza bandiko lake vizuri kwamba service yake inafanyika ndani ya Istanbul. Utafikaje huko?? That's none of his/her business
Mfano katika Msimu huu zipo packages za kwenda Uturuki na gharama inaanzia laki 5 tu ($230) kwa siku 4 hadi 5. Utashindwaje hapo?"
Watu walivombana bana maswali ndiyo akafunguka vizuri, kwamba hiyo laki 5 haihusu nauli wala vipimo vya COVID19. Bandiko lilikua halijajikamilisha ila wewe ukawa unaleta ujuaji.