NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,959
- 2,938
Mk
Mkuu njoo manchali.chalinze wilaya ya Chamwino gunia elfu30,Kigea Chimaligo Chunyu Wilaya ya Mpwapwa Bei ni debe 4000/gunia 24,000/Poa poa mkuu. Kwahiyo ni wilaya gani ili nijue hiyo sehemu siku nikija nisipate shida?