Huu ni Muujiza: Nimegongwa na Lori ila sina hata mchubuko wowote

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,948
18,648
61d8558310ff2af67da12ff93b7f1b27.jpg
deebbb4c19941f333a39bdf4cb0540d4.jpg
62fa4bb8e50ff901fb96daaf31212604.jpg
57228c4fc8ccb43c85c4287f1d494c46.jpg


Hii imetokea leo Igunga sa moja asubuhi.
 
Mmmhhh asee God is so good to you. Praise him all the time
 
Mungu Ni mwema Kila wakati ,kama wewe Ni mkatoliki naomba ukasome misa ,BY THE WAY NAOMBA UNIUZIE HIYO NOAH KWA AJILI YA KUICHINJA
 
61d8558310ff2af67da12ff93b7f1b27.jpg
deebbb4c19941f333a39bdf4cb0540d4.jpg
62fa4bb8e50ff901fb96daaf31212604.jpg
57228c4fc8ccb43c85c4287f1d494c46.jpg


Hii imetokea leo Igunga sa moja asubuhi.
Aah Sasa hujui kama ungekufa ungeenda kuishi maisha ya raha mbinguni? Sasa kwa taarifa yako mungu hakupendi ng'o Ndo Maana kakuacha kwenye taabu za hii dunia, ona hata jamaa hapo juu kashaanza kulitaka gari lako na kuliita skrepa sii taabu hizi jamani
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom