Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,652
- Thread starter
- #41
Sasa ndyo nmeanza kusikia kifua na mgongo kuuma.Mshukuru muumba, ila ukijisikia tofauti kidogo wahi hospital pengine umeumia kwa ndani,
Sasa ndyo nmeanza kusikia kifua na mgongo kuuma.Mshukuru muumba, ila ukijisikia tofauti kidogo wahi hospital pengine umeumia kwa ndani,
Ukapige X-Ray haraka, kuna jamaa yangu alivuta tukio kama hiloSasa ndyo nmeanza kusikia kifua na mgongo kuuma.
Najua Mungu anatupenda sote.Nadhani, sijui mkuu
Mi najitaidi Sana kwenda kanisani ila sielewi Mkuu
Kwani we we je
ATF Automatic Transmission Fluid au Power Steering Fluid.Hiyo damu hapo chini ni ya nani?
Whiplash...........Sasa ndyo nmeanza kusikia kifua na mgongo kuuma.
Any way sawa bwana mkubwaNajua Mungu anatupenda sote.
Inaonesha huyo dereva aliyekugonga hana shabaha nzuri!
Nikuulize wewe!We jini au mtu?