Mchaga 25
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 464
- 114
Nimesikitistishwa sana na matamko yanayotolewa katika kipindi hiki ambapo hali ya uchumi nchini kwetu ni mbaya. Ni afadhali kuwaambia wajue kabisa kwamba kama wao wanatuforce msaada kwa ushoga na sisi rasilimali zetu mashoga wasiziibe Mh rais naomba toa tamko kuwaonyesha kwamba hata Tanzania ni nchi amabayo inaweza kujitegemea na kama utashindwa tumia nafasi yako katika AU ili africa itoe neno, nina imani Gaddafi angekuwepo angesema kitu.
Hakika huu ushetani ukivumiliwa wanetu na wana wanetu wataharibika, stand up Tanzania. Waislam wenzangu vipi katika hili??
Hakika huu ushetani ukivumiliwa wanetu na wana wanetu wataharibika, stand up Tanzania. Waislam wenzangu vipi katika hili??