Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,909
- 13,476
Sina shaka na uwezo wa kocha na wachezaji wa club hii kongwe ya pale mjini Madrid. Kwa miaka mingi Elcholo alijaribu kutengeneza kikosi cha kupambana na Barcelona na Real Madrid bila mafanikio. Kwani vilabu hivi viwili vilikuwa na vikosi bora kwa zaidi ya miaka kumi.
Ila kwa sasa wale golden boys wao wote wamefikia mwisho wa uwezo wao. Madrid iliyokuwa ikibebwa na Bale Benzema na Cristiano kwa sasa huo utatu mtakatifu haupo tena. Marcelo mmoja wa mabeki bora kabisa wa pembeni kutokea kwenye hii dunia kafika mwisho sasa anaanzia bench. Bale kabadilika kawa mcheza golf.
Barcelona Messi naye kafikia mwisho na haoni future tena pale Nou camp. Pique, Busquet, Alba, Ratikic, Umtiti ote kwa sasa ni everage players na umri ndio umeenda.
Sasa ni kazi ya el chola kuwatumia vijana wake ambao mbali na vipaji pia wana spirit ya hali ya juu. Chini ya captain Koke, Saul, Carrasco, Joao Felix, Lodi mwamba Patey huu ndio msimu wenu wa kunyanyua kwapa kwa kubeba kikombe cha Laliga.
zitto junior
Ila kwa sasa wale golden boys wao wote wamefikia mwisho wa uwezo wao. Madrid iliyokuwa ikibebwa na Bale Benzema na Cristiano kwa sasa huo utatu mtakatifu haupo tena. Marcelo mmoja wa mabeki bora kabisa wa pembeni kutokea kwenye hii dunia kafika mwisho sasa anaanzia bench. Bale kabadilika kawa mcheza golf.
Barcelona Messi naye kafikia mwisho na haoni future tena pale Nou camp. Pique, Busquet, Alba, Ratikic, Umtiti ote kwa sasa ni everage players na umri ndio umeenda.
Sasa ni kazi ya el chola kuwatumia vijana wake ambao mbali na vipaji pia wana spirit ya hali ya juu. Chini ya captain Koke, Saul, Carrasco, Joao Felix, Lodi mwamba Patey huu ndio msimu wenu wa kunyanyua kwapa kwa kubeba kikombe cha Laliga.
zitto junior