Tuntemeke umechuja kama mchuuzi wa mende habari yako imekuwa si habari tena ,hapa nikijiwe watu wanapimana jinsi walivyona maneno namna ya kutukana ,kuchambua,kumalizia na kuanzisha jipya,mpaka sasa umesaidia sana chadema wanaonekana wako strong,manake inaonekana unaongea wewe na unamkaba Josephina na Dr Slaa,imeonyesha jinsi ulivyokuwa sio makini kama mhasibu hayumo mmh hii inaleta kichekeshoTuntemeke ambaa akijiunge na CCk,ADC,inaelekea umekataa tamaa unasema tufe wote ,wanasaikolojia wanasema chuki inajengeka mwilini na mara nyingi mwenye chuki huwa anatoa chachu (horomono) zinazomrudi mweneyewe na kumtesa usicheze na ubongo mtambo wa ajabu sana bwana ,Pole pole pole mzeeMAHABA YANAMTESA.....Haamini kuwa chadema nayo inakashifa ya ufisadi kama huuu....Alizani chadema Mungu