Gwandalized
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 219
- 44
duh magwanda hoi,wanaruka ruka tu,
Haya mambo yanaweza kuwa majungu ama la. Ila kwa ujumla wake yanatisha sana hasa ikizingatiwa CDM na viongozi wake ndio tegemeo la watanzania kuondokana na minyororo ya CCM. Haya mambo yanahitaji majawabu.
Moja nimelisikia kama miezi miwili hivi iliyopita; kwamba KUB amelichukua kimya kimya gari la rasmi la KUB. Hayo mengine sijui. Ila linalotisha zaidi ni hili la Mwenyekiti wa CDM kununua nyumba Dubai na kuikarabati kwa ajili ya kuwahamishia ndugu zake huko. Kama ni jungu basi ni jungu baya sana inabidi litolewe kauli si la kuacha hivi hivi. Kama kiongozi ana mpango wa kuhamishia ndugu zake ughaibuni hapa kuna ujumbe gani?
Nadhani kwenye thread inaoneshabaadhi ya majibu ya Dr.slaa...ila kama unataka majibu yake nenda nyuma kabisa kwenye page za mwanzo utaona majibu ya Josephine na Mchumba wake slaaTupe Dondoo ni lini Dr Slaa alijibu haya yote, ni vizuri haya mambo ukayaweka vizuri ili nasi tuyafuatilie kwa karibu
Nimeona taarifa yako isiyo taja ni lini na wapi haya yametokea ebu tuhabarishe tafadhali
no reserch no right to speek
Huyu Matola ametoka wapi mbona anachangia kama yupo jukwaa la udaku? kijana Matola naona upo kwenye wrong forum.
MAHABA YANAMTESA.....Haamini kuwa chadema nayo inakashifa ya ufisadi kama huuu....
Alizani chadema Mungu
Maskini siamini kama ndio Dk wa ukweli weweRitz,
Thanks. 1. Ili uhoji Dr Slaa kakopa hela ya Chama hoki kwanza CCM makao Makuu walioanzisha Mfuko wa kukopesha wafanyakazi wao na kukopeshana maelfu ya mamilioni(rejea(Audit report 2010).
2. Ili kujua taratibu za chadema soma kwanza Katiba, kanuni na Taratibu za Chadema. No research no right to speak.
3, kama ni strategy ya kutunyamazisha imefeli kabla haijaanza na usipoteze usingizi wako bure. Tena moto ndo..
Kitu gani ambacho hujaelewa kama hutaki majibu yake ambaa acha matusi ya nguoni kwani unadhani propaganda za kuchambia chooni zitatusumbua sisi usigeuze jamvi hili la makanjanja ni watu tunaojielewa tunajua unakoelekea hadanganywi mtu hapaMaskini siamini kama ndio Dk wa ukweli weweyaani Mushumbusi amekushika kweli kweliumekuja kuaje unatoa majibu mepesi kwenyemaswali mazito namna hiyo kweli Silaa kwishney