Mods tujenge heshima ya jukwaa hili haiwezekani mtu anaingia na kuandika vitu vya kuchafua watu tu bila ushahidi wowote.Mods hii si haki kabisa.Mtoa mada aweke uthibitisho ama sivyo ondoeni hii mada.Jukwaa hili lisitumike kupotosha na kuchafua watu.Nadhani sheria za JF haziruhusu hali kama hii.