NAMTUMBA
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,939
- 594
Nimeangalia mwenendo wa masuala mbalimbali katika nchi yetu nimepata jibu moja tu nalo ni "Sasa ndo wakati muafaka wakupata katiba Mpya"
Kuna mengi yanatokea, yanafanywa lakini pamoja na hayo yoote bila katiba mpya Tanzania Mpya itakuwa in hadithi ya kusadikika.
Kuna mengi yanatokea, yanafanywa lakini pamoja na hayo yoote bila katiba mpya Tanzania Mpya itakuwa in hadithi ya kusadikika.