Huu ndo muda muafaka wa Tanzania kupata KATIBA MPYA

NAMTUMBA

JF-Expert Member
Feb 20, 2014
1,939
594
Nimeangalia mwenendo wa masuala mbalimbali katika nchi yetu nimepata jibu moja tu nalo ni "Sasa ndo wakati muafaka wakupata katiba Mpya"

Kuna mengi yanatokea, yanafanywa lakini pamoja na hayo yoote bila katiba mpya Tanzania Mpya itakuwa in hadithi ya kusadikika.
 
Back
Top Bottom