HUU NDO MTAJI MKUU WA CCM na MAFISADI

Paul Kijoka

JF-Expert Member
Oct 25, 2010
1,399
255
Kwa mawazo yangu kama mzalendo na mtu anayeliangalia taifa letu linavyozidi kudidimia naamini kuwa huu ndo mtaji wa CCM kuendelea kuhodhi madaraka kwa namna yoyote ile.

  1. kuwa na watanzania weliowengi mbumbu ambao ndo mtaji wa mafisadi
  2. kuwa na wasomi walio na uozo wa kuibia masikini na kujilimbikizia mali na kuacha watu masikini wakifa njaa, kwa ufukara, wakifanyiwa operation hospital bila ganzi.......!
  3. uwepo wa walaghai ndani ya CCM hasa wale wanaojiita wapiganaji kumbe ni WALAGHAAJI na wazamisha meli ya watanzania
  4. ukosekanaji wa uzalendo na uwepo wa umimi miongoni mwa watanzania
  5. dola kukandamiza wanachi hasa wale wasiojua sheria na haki zao
  6. CCM kuubiri udini na kugawanya wa TZ baadala ya kupambana na mafisadi kwamfano waislam waliowengi sasa wanapambana na CDM.
  7. NJAA na umasikini uliokubuu ambao unawafanya watanzania kutawaliwa KIUCHUMI na si KISIASA
 
Kwa mawazo yangu kama mzalendo na mtu anayeliangalia taifa letu linavyozidi kudidimia naamini kuwa huu ndo mtaji wa CCM kuendelea kuhodhi madaraka kwa namna yoyote ile.

  1. kuwa na watanzania weliowengi mbumbu ambao ndo mtaji wa mafisadi
  2. kuwa na wasomi walio na uozo wa kuibia masikini na kujilimbikizia mali na kuacha watu masikini wakifa njaa, kwa ufukara, wakifanyiwa operation hospital bila ganzi.......!
  3. uwepo wa walaghai ndani ya CCM hasa wale wanaojiita wapiganaji kumbe ni WALAGHAAJI na wazamisha meli ya watanzania
  4. ukosekanaji wa uzalendo na uwepo wa umimi miongoni mwa watanzania
  5. dola kukandamiza wanachi hasa wale wasiojua sheria na haki zao
  6. CCM kuubiri udini na kugawanya wa TZ baadala ya kupambana na mafisadi kwamfano waislam waliowengi sasa wanapambana na CDM.
  7. NJAA na umasikini uliokubuu ambao unawafanya watanzania kutawaliwa KIUCHUMI na si KISIASA
Mkuu!
Unanukia uzalendo. Uloyasema ni sehemu tu ya ukweli.
 
Jingine ni hili la viongozi wa CHADEMA kushilikiana na mafisadi.Ushaidi ni maongezi ya simu kati ya BASHE na LEMA mpaka yakaleta muafaka wa kuacha siasa za fujo igunga.Inakuwaje kamanda Lema aongee kwa Simu na Bashe wakati kila mtu anajua kama ni kijana wa Rostam.Kweli siasa si hasa ni unafiki mtupu
 
Kwa mawazo yangu kama mzalendo na mtu anayeliangalia taifa letu linavyozidi kudidimia naamini kuwa huu ndo mtaji wa CCM kuendelea kuhodhi madaraka kwa namna yoyote ile.
  1. kuwa na watanzania weliowengi mbumbu ambao ndo mtaji wa mafisadi
  2. kuwa na wasomi walio na uozo wa kuibia masikini na kujilimbikizia mali na kuacha watu masikini wakifa njaa, kwa ufukara, wakifanyiwa operation hospital bila ganzi.......!
  3. uwepo wa walaghai ndani ya CCM hasa wale wanaojiita wapiganaji kumbe ni WALAGHAAJI na wazamisha meli ya watanzania
  4. ukosekanaji wa uzalendo na uwepo wa umimi miongoni mwa watanzania
  5. dola kukandamiza wanachi hasa wale wasiojua sheria na haki zao
  6. CCM kuubiri udini na kugawanya wa TZ baadala ya kupambana na mafisadi kwamfano waislam waliowengi sasa wanapambana na CDM.
  7. NJAA na umasikini uliokubuu ambao unawafanya watanzania kutawaliwa KIUCHUMI na si KISIASA

stress tupu siasa za bongo..
 
hapo sawa kabisa ila sasa dr wa ukweli ameanza kutoa elima nchi nzima kitaeleweaka
 
Nafikiri tuanzie kwenye vyama vya upinzania.."tuondoe garbage huko" ndio tuanze kupambana na CCM

Garbage no. 1: mafisadi walioko chadema ni wengi kuliko unavyofahamu

Garbage no. 2: Ubaguzi na upendeleo wa wazi ulioko huko ni wazi na hakuna anayetaka kuuliza

Huo ndio mtaji wa ccm..
 
Kwa mawazo yangu kama mzalendo na mtu anayeliangalia taifa letu linavyozidi kudidimia naamini kuwa huu ndo mtaji wa CCM kuendelea kuhodhi madaraka kwa namna yoyote ile.

  1. kuwa na watanzania weliowengi mbumbu ambao ndo mtaji wa mafisadi
  2. kuwa na wasomi walio na uozo wa kuibia masikini na kujilimbikizia mali na kuacha watu masikini wakifa njaa, kwa ufukara, wakifanyiwa operation hospital bila ganzi.......!
  3. uwepo wa walaghai ndani ya CCM hasa wale wanaojiita wapiganaji kumbe ni WALAGHAAJI na wazamisha meli ya watanzania
  4. ukosekanaji wa uzalendo na uwepo wa umimi miongoni mwa watanzania
  5. dola kukandamiza wanachi hasa wale wasiojua sheria na haki zao
  6. CCM kuubiri udini na kugawanya wa TZ baadala ya kupambana na mafisadi kwamfano waislam waliowengi sasa wanapambana na CDM.
  7. NJAA na umasikini uliokubuu ambao unawafanya watanzania kutawaliwa KIUCHUMI na si KISIASA

CCM haina cha mtaji wala nini, ni sawa na mtu anayetapatapa kufa maji!
1. Mtanzania wa sasa si mbumbumbu (na namba zinaongezeka kila kukicha).
2. Msomi hasa aliyebobea katika fani yake hakimbilii siasa (tunamsubiri Dr. Ben Bana aje kwetu).
3. Wapambanaji wa ufisadi feki tunawajua wakiongzwa na S. Six
4. Uzalendo umeamshwa na CDM
5. Vyombo vya dola vinasubiri tufany kweli halafu ndo serikali ione km inaungwa mkono.
6. Kuna Bakwata na Bakwacha. Watanzania tushalijua hili.
7. Njaa? Naona kama hii inafanna na hiyo ya kwanza hapo juu.
 
Kwa mawazo yangu kama mzalendo na mtu anayeliangalia taifa letu linavyozidi kudidimia naamini kuwa huu ndo mtaji wa CCM kuendelea kuhodhi madaraka kwa namna yoyote ile.

  1. kuwa na watanzania weliowengi mbumbu ambao ndo mtaji wa mafisadi
  2. kuwa na wasomi walio na uozo wa kuibia masikini na kujilimbikizia mali na kuacha watu masikini wakifa njaa, kwa ufukara, wakifanyiwa operation hospital bila ganzi.......!
  3. uwepo wa walaghai ndani ya CCM hasa wale wanaojiita wapiganaji kumbe ni WALAGHAAJI na wazamisha meli ya watanzania
  4. ukosekanaji wa uzalendo na uwepo wa umimi miongoni mwa watanzania
  5. dola kukandamiza wanachi hasa wale wasiojua sheria na haki zao
  6. CCM kuubiri udini na kugawanya wa TZ baadala ya kupambana na mafisadi kwamfano waislam waliowengi sasa wanapambana na CDM.
  7. NJAA na umasikini uliokubuu ambao unawafanya watanzania kutawaliwa KIUCHUMI na si KISIASA
point ya 7 imesimama tena kiume,hapa ndo shida ilipo kwa watanzania,goooooood for this point mkuuuuu
 
Back
Top Bottom