Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Kwa mawazo yangu kama mzalendo na mtu anayeliangalia taifa letu linavyozidi kudidimia naamini kuwa huu ndo mtaji wa CCM kuendelea kuhodhi madaraka kwa namna yoyote ile.
- kuwa na watanzania weliowengi mbumbu ambao ndo mtaji wa mafisadi
- kuwa na wasomi walio na uozo wa kuibia masikini na kujilimbikizia mali na kuacha watu masikini wakifa njaa, kwa ufukara, wakifanyiwa operation hospital bila ganzi.......!
- uwepo wa walaghai ndani ya CCM hasa wale wanaojiita wapiganaji kumbe ni WALAGHAAJI na wazamisha meli ya watanzania
- ukosekanaji wa uzalendo na uwepo wa umimi miongoni mwa watanzania
- dola kukandamiza wanachi hasa wale wasiojua sheria na haki zao
- CCM kuubiri udini na kugawanya wa TZ baadala ya kupambana na mafisadi kwamfano waislam waliowengi sasa wanapambana na CDM.
- NJAA na umasikini uliokubuu ambao unawafanya watanzania kutawaliwa KIUCHUMI na si KISIASA