Bwana Mapesa
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,551
- 1,777
Nimeshindwa kuamini kama haya ndo maisha halisi ya Majimaji FC ama maigizo? Kweli Premier League unaenda kucheza na Yanga katika haya mazingira?
Viongozi wa hio timu Wazembe waende singida utd wakajifunze namna walivyopata wawekezajiMaskini ya mungu,
Tatizo nini washakua Lulu watu wanaogopa nini kuinvest kwa hii timu mana kwa mwendo huu sijui hatma yake ni nini!
Nimeshindwa kuamini kama haya ndo maisha halisi ya Majimaji Fc ama maigizo? Kweli Premier Leagur unaenda kucheza na Yanga katika haya mazingira?
Lunch ya wachezaji wa Majimaji kabla ya kunyukwa 4-1 na Yanga .
Viongoz wa Yanga walionekana hotel waliofikia majimaji! Wala wasilaumiwe Tanzania kila kitu ni rushwa! Madogo wapo vizuri! So wasilaumiweNimeshindwa kuamini kama haya ndo maisha halisi ya Majimaji Fc ama maigizo? Kweli Premier Leagur unaenda kucheza na Yanga katika haya mazingira?
Lunch ya wachezaji wa Majimaji kabla ya kunyukwa 4-1 na Yanga .
Tazama vizuri jina lake huyo ndugu, wakati mwingine jina linasadifu mawazo ya mtu piaSasa Hapa umekusudia KuClarify Nini?
Kwahiyo Kama Tukio hili lilikuwa Mwaka 2017 ndiyo litageuka Kuwa la Kishujaa badala ya Kuwa la Kimateso?
Kwakuwa unafikiria kwa makalio basi sawaaaa..... Maana Mtoa mada kasema "Lunch ya wachezaji majimaji kabla y kunyukwa 4-1"... Akisadifu kwamba wamekula siku hiyo kabla ya mechi ila kwa kuwa ubongo wako umejaa funza hauoni kam amekosea....Sasa Hapa umekusudia KuClarify Nini?
Kwahiyo Kama Tukio hili lilikuwa Mwaka 2017 ndiyo litageuka Kuwa la Kishujaa badala ya Kuwa la Kimateso?
Mmmmmmmh weye kweliiii?Tazama vizuri jina lake huyo ndugu, wakati mwingine jina linasadifu mawazo ya mtu pia
Huu ni unafiki,imezungumziwa hali ngumu ya maji maji wewe unaleta stori za mtu mmoja binafsi. Tabia ya kishenzi hii ya kuzungumza maisha binafsi ya watuNamwonea sana huruma Rafiki yangu Jerry Tegete kwa hali aliyonayo katika hiyo Timu. Nina uhakika kabisa Jerry Tegeta anatamani hata Kulia hasa akikumbuka jinsi Watu wa Simba SC walivyokuwa wakihangaika huku na kule kutaka Kumsajili kutoka Yanga SC alipokuwa mwanzo na kuja Simba SC na akawa anakataa kwa kumuogopa Baba yake ambaye ni Yanga lia lia na Yeye ( Jerry ) akiwa ni mwana Simba SC kindakindaki na sasa maisha yamempiga huku akiwa hana mbele wala nyuma huku Yule Demu wake Mwandishi wa Habari wa Mwanaspoti na Mwananchi ( Jina Kapuni / Mafichoni ) nae akimtema / akimuacha.
Mbona Arusha na Hai hakuna timu ya Ligi kuu?Hayo ndiyo maisha halisi ya watanzania zaidi ya 90% na bado majuzi wamemchagua mbunge wa ccm
Kwani viongozi wa Yanga wamekatazwa kufika kwenye Hotel ya timu pinzani?Viongoz wa Yanga walionekana hotel waliofikia majimaji! Wala wasilaumiwe Tanzania kila kitu ni rushwa! Madogo wapo vizuri! So wasilaumiwe
Huu ni unafiki,imezungumziwa hali ngumu ya maji maji wewe unaleta stori za mtu mmoja binafsi. Tabia ya kishenzi hii ya kuzungumza maisha binafsi ya watu
Maskini ya mungu,
Tatizo nini washakua Lulu watu wanaogopa nini kuinvest kwa hii timu mana kwa mwendo huu sijui hatma yake ni nini!