Huu ndo mjengo wa NSSF uliopo moshi -kilim

Steven mushi mushi

JF-Expert Member
Jul 25, 2016
533
737
5d7eb6c3610c31bdcf64e488c8e3e1d8.jpg
 
Nilikuwepo hapo last month,gorofa kweli ni zuri,ila sasa kodi ni kwa skwea mita,imagine yaani ghali kinyama.
Mbaya kabisa,ni mafao yetu ya NSSF,ambapo hela zangu zinatumika kujengea gorofa lenye kodi kubwa,na mi sipati share yeyote itokanayo na matumizi ya fungu langu.
Tena,bila hata kufanya makubaluano yeyote juu ya matumizi ya hela yangu,wanajuaje kama sitaki kuwekeza pesa zangu kwenye majengo kama hayo?

Hii imenipelekea kufikiri kwamba,hata ule mpango wa fao la kujitoa ni kwa sababu ya matumizi haya ya fedha ambazo wamejengea manengo yasio kodishwa.
 
Walitumia vigezo gani kulijenga moshi.... maana halina wapangaji
 
kama halina wapangaji,washushe kodi au walihamishieee mbeyaaa....sasa hapo la faida gan...teh teh
 
Kipi kinaanza
1. Wapangaji kwanza then ndiyo jengo au

2. Jengo kwanza then ndiyo Wapangaji? ??

Whatever the case jengo lipo kazi ni kuvutia wapangaji wahamie kwa njia zozote zile
 
Back
Top Bottom