Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
Mzee Abdul Juma amemtaka Diamond Platnumz abadili jina aache kutumia jina la Abdul Juma badala yake atumie jina la anayedaiwa kuwa baba yake yaani Nyange Salum.
Utaratibu wa kubadili jina upo hivi,
1. Diamond atafute mwanasheria wa kumuandalia Deed poll (Kiapo cha kubadili jina) siku hizi Kuna wanasheria wanaandaa hata kwa elfu thelathini (30000) by the way Diamond Platnumz ana wanasheria wake
2. Then unaenda kwa Registrar of documents pale Posta unasajili deed poll yako unalipia tena elfu 33000 then unasubiri siku 14 unapata majibu.
Yaani ukiwa na 63000 unabadili jina ndani ya siku 14.
Nakutakia kila la kheri Naseeb Salum Nyange (Diamond Platnumz) katika kubadili jina lako.
Utaratibu wa kubadili jina upo hivi,
1. Diamond atafute mwanasheria wa kumuandalia Deed poll (Kiapo cha kubadili jina) siku hizi Kuna wanasheria wanaandaa hata kwa elfu thelathini (30000) by the way Diamond Platnumz ana wanasheria wake
2. Then unaenda kwa Registrar of documents pale Posta unasajili deed poll yako unalipia tena elfu 33000 then unasubiri siku 14 unapata majibu.
Yaani ukiwa na 63000 unabadili jina ndani ya siku 14.
Nakutakia kila la kheri Naseeb Salum Nyange (Diamond Platnumz) katika kubadili jina lako.