Huu ndiyo upuuzi pekee ambao Waafrika tunauweza na kujivunia nao

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,516
108,793
Vincent Aboubakar ndiye mwamba aliyewezesha rekodi ya timu ya kwanza kutoka Afrika kuifunga Brazil tangu kuumbwa kwa uso wa dunia.

Licha ya ushindi huo, Cameroon haijafanikiwa kufuzu hatua ya 16 bora, lakini mchango wa mwamba huyo hautosahaulika ndani ya kikosi hicho.

Chanzo: tbc_online

GENTAMYCINE nauliza hivi tumeenda Qatar kuweka rekodi ya kupambana, kufika mbali na ikiwezekana hata kubeba (kuchukua) Kombe la Dunia au tumeenda kuweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza kutoka barani Afrika kuwafunga Wabrazil?

Mbona hawa hawa Cameroon Kombe la Dunia la mwaka 1990 (kama sijakosea) wakiwemo akina Roger Milla, Francis Omam Biyik, Kunde Yekete, Mfede na Makanacky waliwafunga pia Argentina ya Hayati Diego Armando Maradona kwa mara ya kwanza kama timu ya Afrika (kutoka Afrika). Je, baada ya kufanya hivyo walifika mbali kimashindano?

Kuna muda kutokana na upuuzi (upumbavu) wa Waafrika wachache ukijijua wewe ni Mwafrika mwerevu (intelligent) unajutia hata kwanini Mwenyezi Mungu alikuumba na hii rangi na hakukuumba na rangi nyeupe ya Wazungu wanaojua kufikiri vyema na wanajitambua kimaisha na kiutendaji.

Sishangai sana kwani ndiyo maana hata tumefikia hatua za kupeana PhDs (Doctorates) za Utu na Huruma wakati huyo aliyepewa hana utu wa kuvumilia kusemwa (kukosolewa) na pia hana huruma kuwa ndani ya nchi yake hiyo hiyo kuna watu hawapati huduma ya maji safi na salama na badala yake wanaishia kunywa maji machafu yenye sumu ya viwandani, ambayo wanyama pia wameyakojolea na hata kuyanyea (kuyakweka) vile vile.

Hovyo kabisa!

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!
 
Vincent Aboubakar ndiye mwamba aliyewezesha rekodi ya timu ya kwanza kutoka Afrika kuifunga Brazil tangu kuumbwa kwa uso wa dunia.

Licha ya ushindi huo, Cameroon haijafanikiwa kufuzu hatua ya 16 bora, lakini mchango wa mwamba huyo hautosahaulika ndani ya kikosi hicho.

Chanzo: tbc_online

GENTAMYCINE nauliza hivi tumeenda Qatar kuweka rekodi ya kupambana, kufika mbali na ikiwezekana hata kubeba (kuchukua) Kombe la Dunia au tumeenda kuweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza kutoka barani Afrika kuwafunga Wabrazil?

Mbona hawa hawa Cameroon Kombe la Dunia la mwaka 1990 (kama sijakosea) wakiwemo akina Roger Milla, Francis Omam Biyik, Kunde Yekete, Mfede na Makanacky waliwafunga pia Argentina ya Hayati Diego Armando Maradona kwa mara ya kwanza kama timu ya Afrika (kutoka Afrika). Je, baada ya kufanya hivyo walifika mbali kimashindano?

Kuna muda kutokana na upuuzi (upumbavu) wa Waafrika wachache ukijijua wewe ni Mwafrika mwerevu (intelligent) unajutia hata kwanini Mwenyezi Mungu alikuumba na hii rangi na hakukuumba na rangi nyeupe ya Wazungu wanaojua kufikiri vyema na wanajitambua kimaisha na kiutendaji.

Sishangai sana kwani ndiyo maana hata tumefikia hatua za kupeana PhDs (Doctorates) za Utu na Huruma wakati huyo aliyepewa hana utu wa kuvumilia kusemwa (kukosolewa) na pia hana huruma kuwa ndani ya nchi yake hiyo hiyo kuna watu hawapati huduma ya maji safi na salama na badala yake wanaishia kunywa maji machafu yenye sumu ya viwandani, ambayo wanyama pia wameyakojolea na hata kuyanyea (kuyakweka) vile vile.

Hovyo kabisa!

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!
Tatizo ni malengo. Hili la kuifunga Brazil tunaliona kubwa kwa sababu hatukutegemea kuifunga hata nchi moja sembuse Brazil. Afrika timu zinakwenda na malengo madogo na haishangazi timu kuondoka bila point na ikaonekana kawaida.

Jambo jingine ni mfumo tunaotumia kuwapata wawakilishi wetu. Ni kama umeingiliwa na siasa hivi. Hebu waangalie Amerika kusini, mpaka nchi ifikie kiwawakilisha inachujwa kweli kweli. Lakini huku unaweza kuwekwa group la kina Tanzania, Comoro na Zimbabwe, halafu Giant unapewa Burkina Faso. Ukitoboa kibahatibahati 10 bora unakutana na Zambia mara huyoooo Tanzania welidi capu.
 
Vincent Aboubakar ndiye mwamba aliyewezesha rekodi ya timu ya kwanza kutoka Afrika kuifunga Brazil tangu kuumbwa kwa uso wa dunia.

Licha ya ushindi huo, Cameroon haijafanikiwa kufuzu hatua ya 16 bora, lakini mchango wa mwamba huyo hautosahaulika ndani ya kikosi hicho.

Chanzo: tbc_online

GENTAMYCINE nauliza hivi tumeenda Qatar kuweka rekodi ya kupambana, kufika mbali na ikiwezekana hata kubeba (kuchukua) Kombe la Dunia au tumeenda kuweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza kutoka barani Afrika kuwafunga Wabrazil?

Mbona hawa hawa Cameroon Kombe la Dunia la mwaka 1990 (kama sijakosea) wakiwemo akina Roger Milla, Francis Omam Biyik, Kunde Yekete, Mfede na Makanacky waliwafunga pia Argentina ya Hayati Diego Armando Maradona kwa mara ya kwanza kama timu ya Afrika (kutoka Afrika). Je, baada ya kufanya hivyo walifika mbali kimashindano?

Kuna muda kutokana na upuuzi (upumbavu) wa Waafrika wachache ukijijua wewe ni Mwafrika mwerevu (intelligent) unajutia hata kwanini Mwenyezi Mungu alikuumba na hii rangi na hakukuumba na rangi nyeupe ya Wazungu wanaojua kufikiri vyema na wanajitambua kimaisha na kiutendaji.

Sishangai sana kwani ndiyo maana hata tumefikia hatua za kupeana PhDs (Doctorates) za Utu na Huruma wakati huyo aliyepewa hana utu wa kuvumilia kusemwa (kukosolewa) na pia hana huruma kuwa ndani ya nchi yake hiyo hiyo kuna watu hawapati huduma ya maji safi na salama na badala yake wanaishia kunywa maji machafu yenye sumu ya viwandani, ambayo wanyama pia wameyakojolea na hata kuyanyea (kuyakweka) vile vile.

Hovyo kabisa!

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!
Gentamycine ulikuwa na umri gani 1990?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
K
Miaka hii JF imejawa na watoto wanaandika tu wanachojisikia. Miaka yetu sisi tulioanza na Jambo Forums tulikuwa wote watu wazima,tunaojielewa ,wenye maadili,elimu na uwezo kiakili na kiuchumi.
Kweli kipindi kile mzazi hamruhusu mtoto amiliki simu, wakubwa tu ndo tulikuwa nazo
 
Vincent Aboubakar ndiye mwamba aliyewezesha rekodi ya timu ya kwanza kutoka Afrika kuifunga Brazil tangu kuumbwa kwa uso wa dunia.

Licha ya ushindi huo, Cameroon haijafanikiwa kufuzu hatua ya 16 bora, lakini mchango wa mwamba huyo hautosahaulika ndani ya kikosi hicho.

Chanzo: tbc_online

GENTAMYCINE nauliza hivi tumeenda Qatar kuweka rekodi ya kupambana, kufika mbali na ikiwezekana hata kubeba (kuchukua) Kombe la Dunia au tumeenda kuweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza kutoka barani Afrika kuwafunga Wabrazil?

Mbona hawa hawa Cameroon Kombe la Dunia la mwaka 1990 (kama sijakosea) wakiwemo akina Roger Milla, Francis Omam Biyik, Kunde Yekete, Mfede na Makanacky waliwafunga pia Argentina ya Hayati Diego Armando Maradona kwa mara ya kwanza kama timu ya Afrika (kutoka Afrika). Je, baada ya kufanya hivyo walifika mbali kimashindano?

Kuna muda kutokana na upuuzi (upumbavu) wa Waafrika wachache ukijijua wewe ni Mwafrika mwerevu (intelligent) unajutia hata kwanini Mwenyezi Mungu alikuumba na hii rangi na hakukuumba na rangi nyeupe ya Wazungu wanaojua kufikiri vyema na wanajitambua kimaisha na kiutendaji.

Sishangai sana kwani ndiyo maana hata tumefikia hatua za kupeana PhDs (Doctorates) za Utu na Huruma wakati huyo aliyepewa hana utu wa kuvumilia kusemwa (kukosolewa) na pia hana huruma kuwa ndani ya nchi yake hiyo hiyo kuna watu hawapati huduma ya maji safi na salama na badala yake wanaishia kunywa maji machafu yenye sumu ya viwandani, ambayo wanyama pia wameyakojolea na hata kuyanyea (kuyakweka) vile vile.

Hovyo kabisa!

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!
Hata sijaelewa kasema nini, naona karopoka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom