nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Ama kwa hakika tupo kwenye right trucks kama tukipata vijana wengi wa aina hii, itasaidia sana kuipaisha nchi yetu kimataifa, siyo wengine kazi yao kuichafua tu kila siku
Na pia nasikia malalamiko eti mbona viongozi wa Kikristo hawalalamiki Kanisa kuvamiwa na mtu kudedishwa kwa risasi. Hivi nyie mnadhani wao hawana aklili? Walalamike ili waichafue nchi? Msivuruge amani yetu bwana.
Na pia nasikia malalamiko eti mbona viongozi wa Kikristo hawalalamiki Kanisa kuvamiwa na mtu kudedishwa kwa risasi. Hivi nyie mnadhani wao hawana aklili? Walalamike ili waichafue nchi? Msivuruge amani yetu bwana.