Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
magoma motomoto ya nairobary
mambo baaadooooooooooooo
Kaizer nina hamu na wewe,
Mambo badoooooooooooooooooooo
Wa(u)livyosemaaaaaaa....mambo baado!
B wa ukweli!
magoma motomoto ya nairobary
mambo baaadooooooooooooo
Kaizer nina hamu na wewe,
Mambo badoooooooooooooooooooo
hehee ulikuwa ukipiga bila kuonesha dole gumba unaonekana wakuja,ndo mana unamuona huyo mshikaji wenu huko nyuma kahakikisha hata kama sura yake haionekani lkn kainua mkono ili dole lake litokee.Enzi hizo ukipiga picha bila kuonyesha dole gumba picha ilikuwa haitoki. Dah! Maskini kipindi hicho tayari nlishacheza mchezo wa baba na mama. Hapo bikra kwisha habari yake.
Enzi hizo ndio kale kaugonjwa ketu ndio kalikuwa kanaingia. Basi ukitinga Juliana watu wanajua tayari umeshakanyaga adui wa Kakobe.
Watoto wadogo wanaanza kujitokeza.Lakini nyie mnaongelea miaka gani mbona miaka yetu ya sabini sijaona yote haya
Wa(u)livyosemaaaaaaa....mambo baado!
B wa ukweli!
Malizia kabisa na yale mambo ya kudumisha mila........mbona unakwepesha vitu muhimu?hehee ulikuwa ukipiga bila kuonesha dole gumba unaonekana wakuja,ndo mana unamuona huyo mshikaji wenu huko nyuma kahakikisha hata kama sura yake haionekani lkn kainua mkono ili dole lake litokee.
..enzi hizo tukijipikilisha mara unashangaa limetokea kundi kama hilo lenu wanaiba kikopo cha chakula wanagombea chote kisha wanawatupia kikopo halafu haoo,au wakiwa wababe zaidi wanawalamba na makonzi juu.lol
hehee hapo walikuwa wakijaribu lazima ukimbie kwa maza ukaseme,tatizo ilikuwa ni jinsi yakumueleza maza hivyo unabakia tu mamaa yule naniliu eti kaniambia nanihii.maza akimuuliza unasikia muongo huyo huku unakatwa jicho la utanikoma ukitumwa dukani.lolMalizia kabisa na yale mambo ya kudumisha mila........mbona unakwepesha vitu muhimu?
Si mpaka ufanikiwe kuchomoka? Usipofanikiwa kitu gani kilikuwa kinatokea? Sema tu usiogope....hehee hapo walikuwa wakijaribu lazima ukimbie kwa maza ukaseme,tatizo ilikuwa ni jinsi yakumueleza maza hivyo unabakia tu mamaa yule naniliu eti kaniambia nanihii.maza akimuuliza unasikia muongo huyo huku unakatwa jicho la utanikoma ukitumwa dukani.lol
B bwana mi karibu ntachoka sasa kusubiri bana
Si mpaka ufanikiwe kuchomoka? Usipofanikiwa kitu gani kilikuwa kinatokea? Sema tu usiogope....
Yaani bado robo saaa B?
Maumivu ya kichwa huanza poooolepole.Hommie si usome kati kati ya mistari bana LOL
Hommie si usome kati kati ya mistari bana LOL
Maumivu ya kichwa huanza poooolepole.
Logistics ni kama maumivu ya kichwa. Soma katikati ya mistari na hapo hommie.
........hehehehe!dah dah dah dah!hahahahaha!nimesoma na nimeelewa vyemaMaumivu ya kichwa huanza poooolepole.
Logistics ni kama maumivu ya kichwa. Soma katikati ya mistari na hapo hommie.
hii lugha ya kati kati ya mistari tahakikisha watu wachache sana mnaijua!CHIPOLOPOLO ITABIDI WASIIJUE..!(siri ya jeshi)B siku hizi watu wanasoma katikati ya nanihiiiii, muulize Goeff ndo anajua
Si mpaka ufanikiwe kuchomoka? Usipofanikiwa kitu gani kilikuwa kinatokea? Sema tu usiogope....