Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Tatizo ukienda osheniki utalewa sana afu utashindwa kuendesha!hehehe!eti mzee kimario!HAYA BANA NOTED....
nikipata nauli nitaenda oceanic
Tatizo ukienda osheniki utalewa sana afu utashindwa kuendesha!hehehe!eti mzee kimario!HAYA BANA NOTED....
nikipata nauli nitaenda oceanic
Hapo sisi ambao baba zetu walikuwa mahediticha wa praimari skuli ndio tulikuwa tunapiga pamba kuliko watoto wote mtaani. Hiyo raba mtoni niliyoitinga umeiona lakini?hahahaa hii inafurahisha sana,xpin na kaizer!hapo wenyewe walikuwa wanajiona wajanja huwaambii kitu!lol
Dah! Usinikumbushe mbali mamushka. Ukitinga lile na safari buti zako..... aaah! tartiiiiibu unatesa kijijini.@Iribini na lile shati lako la JULIANA unalikumbuka?
Vipi, malaria imepanda kichwani? Yani kuku afukuzwe wakati watu tumetinga nguo za sikukuu?heheheeh hii miondoko inaonekana kama panaenda kuibiwa kuku wa jirani sehem sehem.
hehehehehe!nimecheka hadi kichwa kinauma
Umekosea kidogo. Hizo raba mtoni aliniletea anko wangu. Alivipora Uganda wakati wa vita dhidi ya Iddi Amin. Ulikuwa umezaliwa wewe?
Enzi hizo ndio kale kaugonjwa ketu ndio kalikuwa kanaingia. Basi ukitinga Juliana watu wanajua tayari umeshakanyaga adui wa Kakobe.Mpwazz biggy alitambia sana hiyo nyepesi nyepesi
hahaaaaaa that JULIANA name was connected na kaugonjwa fulani au mafaili yangu hayajakwa retrieved vizuri???
Hapo sisi ambao baba zetu walikuwa mahediticha wa praimari skuli ndio tulikuwa tunapiga pamba kuliko watoto wote mtaani. Hiyo raba mtoni niliyoitinga umeiona lakini?
hehee nimeliona lakuchumpa,hapo usikute mama anawasubiri sikukuu ikiisha raba inarudishwa sandukuni,ndo mana mnaonekana mko ktk mwendo wa kasi ili kuwahi kila sehemu raba ionekane.!ila chachacha za kaizer na huo mwendo lazima miguu ijae vumbi.lol
Enzi hizo ndio kale kaugonjwa ketu ndio kalikuwa kanaingia. Basi ukitinga Juliana watu wanajua tayari umeshakanyaga adui wa Kakobe.
Hahaha! Ikifika saa 12 lazima raba unamkabidhi mama. Zinahifadhiwa mpaka sikukuu itakayofuata. Wakati huo madogo wanakuombea kwa Mungu mguu wako ukue ili sikukuu itakayofuata raba zikubane wao wakabidhiwe umiliki.hehee nimeliona lakuchumpa,hapo usikute mama anawasubiri sikukuu ikiisha raba inarudishwa sandukuni,ndo mana mnaonekana mko ktk mwendo wa kasi ili kuwahi kila sehemu raba ionekane.!ila chachacha za kaizer na huo mwendo lazima miguu ijae vumbi.lol
Hahaha! Ikifika saa 12 lazima raba unamkabidhi mama. Zinahifadhiwa mpaka sikukuu itakayofuata. Wakati huo madogo wanakuombea kwa Mungu mguu wako ukue ili sikukuu itakayofuata raba zikubane wao wakabidhiwe umiliki.
Hehehe!mi nilikuwa nakasirika sikukuu ikiisha mnaambiwa haya haya vueni hizo nguo,zinafuliwa halafu hizoo zinafichwa hehee kazi kweli those days.lkn ilikuwa raha jamani!
kipindi hicho muziki ulikuwa THENK YOU MISTAA DIIJAAAY AMERI MOTAAAAAAAAAAAA
kipindi hicho muziki ulikuwa THENK YOU MISTAA DIIJAAAY AMERI MOTAAAAAAAAAAAA
halafu inafuata:ikitoka hiyo dijei anaunganisha na MAIKO JAKSON NJOOOO SITAKIIII KAMA HUTAKI NENDA.LOL