Mkuu wa Wilaya Cheo kimemzidi ukubwa,sidhani kama aiipelekwa semina.kufundishwa majukumu ya mkuu wa Wilaya,sidhani kama anayo miongozo ya ukuu wa wilaya,mapepe mengi na kutembea na saa 48 mfukoni ndio anachokumbuka kijana mwenzenu Komanya.hajui chochote kuhusu team work,intergrity,communication skill,flexibility and other leadership skill.anachojua ni matusi,kidhalilisha viongozi na kujimwambafy kwamba kazaliwa familia bora.