Viwanda vianzishwe vingi chakushangaza hadi wembe unatoka njee!Hauna haja ya kujua hapa ni jamii forum, ukijua sasa itakusaidia nini.
unipe ajiraHauna haja ya kujua hapa ni jamii forum, ukijua sasa itakusaidia nini.
Ajira zipo mashambani kama kikiboreshwa kilimoHuu ndio ukweli ajira zipo ila serikali haina pesa za kuajiri na kulipa mishahara.
Je, tufanyeje ili kupata fedha za kuajiri na kulipa mishahara?
Nini maoni yako katika hili.
Wewe ungekua ndio kiongozi ungefanyeje ili kupata fedha za kuajiri na kuwalipa mishahara hao ambao utawaajiri?
Tutake radhi lugha kaliMama akadange kule kwa Biden,hakuna namna,haiwezekani watu waukalie uchumi badala ya kuuweka wazi watajirike
Lile benzi unapata trekta 6 zinazoajiri watu 60Benz ni shingap na kuajil inahtaji mshahar shingap kwa vijana wangap ambao watakuw wanlipwa kila mwez mpla wanastaafu
Hapo hakuna namna zaidi ya kuongeza usimamizi hasa kwenye maliasili kama vile sekta ya utalii na madini..Huu ndio ukweli ajira zipo ila serikali haina pesa za kuajiri na kulipa mishahara.
Je, tufanyeje ili kupata fedha za kuajiri na kulipa mishahara?
Nini maoni yako katika hili.
Wewe ungekua ndio kiongozi ungefanyeje ili kupata fedha za kuajiri na kuwalipa mishahara hao ambao utawaajiri?
Kuna umuhimu mkubwa pia wa kusisistiza na kuweka mkazo wa proportionality ya waajiriwa toka nje , wazawa wapewe kipaumbele , hawa makanjanja makanjibai waliojazana humo na kukaba nafasi za wazawa , Kwanza hawalipi income tax na ni watoa rushwa wengi hawana qualifications wala expertise za kuhold nafasi za kazi , kick them out , waajiriwe wazawa .Kama hakuna uzalishaji hakuna pesa itapatikana ya kuajiri..
Kuna watu huwa wanasema eti degree zimetosha kitu ambacho si kweli, uhitaji wa wataalam kwenye sekta mbalimbali bado ni mkubwa sana.
Nchi bado ina uchumi mdogo ila cha ajabu vipaumbele tumeweka kwenye mambo yasiyo na tija. Kifupi bado hakuna viongozi wanaowaza kutukwamua toka hapa tulipo.
Ukiangalia hakuna miradi yeyote ya maana inayoanzishwa ya kuweza kutoa ajira, kama bandari ya Bagamoyo tu ambao ni mradi mkubwa sana ambao kwa namna moja au nyingine ungeleta ajira za kutosha, bado viongozi hao hao wakaupiga vita.
Hata hao bado wanapokeaMbona kika mwaka maelfu ya wafanyakazi wanastaafu lakini hawataki kuajiri ikiwa ni pamoja na mapengo ya walioondolewa kwa vyeti fake.