Huu ndio ukomavu wa kisiasa tunahitaji Tanzania

huu uteuzi unamjenga jpm kwa kiasi fulani ila kwa huyu mama na chama chake unakibomoa. issue iko hivi chama ni itikadi na sera. ili kuwajua wapinzani wa kweli ni katika teuzi kama hizi. je wawezaje kukubali uteuzi hizi za kusimamia utekelezaji wa ulani ya chama ambacho huamini katika itikadi yake?
 
Ile katiba mpya ndio basi tena, wanaililia wakiwa upinzani wakipewa vyeo kimya, polepole alikemea sana nafasi za ukuu wa wilaya/mkoa akapewa akakubali akanyamaza, wala asishauri hazifai zifutwe, mama juzi tu kalilia katiba mpya iliyo pendekeza hizi nafasi zifutwe, kapewa kapokea kwa bashasha..njaa ya kichwa haijawahi kumuacha mtu salama.
 
Nchi inajengwa na wanamaendeleo na siyo na wanaharakati ambao hupenda kupaza sauti ati "demokrasia".
Kwenye serikali yangu hakuna mpinzani atakayeingia~~~~~~~~ haya maneno nilisema zanzibar
 
Kwa hili dude.acha mama akale maisha
60fe6ef5947befd73447b63ee1e8a2bf.jpg
 
Ile katiba mpya ndio basi tena, wanaililia wakiwa upinzani wakipewa vyeo kimya, polepole alikemea sana nafasi za ukuu wa wilaya/mkoa akapewa akakubali akanyamaza, wala asishauri hazifai zifutwe, mama juzi tu kalilia katiba mpya iliyo pendekeza hizi nafasi zifutwe, kapewa kapokea kwa bashasha..njaa ya kichwa haijawahi kumuacha mtu salama.
Angetaka hayo yoote angalau angeteuliwa kuwa mbunge lkn ilivyosasa aliyoyahubiri yote "Kwisha khabari yake".Ilani ya ccm,katiba ya jmt na miongozo ya kiongozi wake ndiyo anayotakiwa kuifuata.
 
Anachonifurahisha JPM ni kuwapa power wale hasa waliokuwa wanataka Katiba Mpya rejea Lipumba,Polepole na sasa Anna Elisha na walikuwa na haiba hasa kwenye ishu ya katiba sijui miaka 10 ijayo panapo uhai watasema nini.
 
Back
Top Bottom