Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Mnapoona wenzetu wanapiga hatua,msifikiri ni miujuzi, bali ni kwasababu wanajitambua kama huyo mwananchi anaempa ukweli huyo waziri mkuu wake.Wao ni wao na sisi ni sisi. Unajua kuwa hao ndio waliotutawala?. Unajua kwamba hao mwaka 1884 walikuwa wanazijua sehemu zote za afrika wakati sisi waafrika hatujui sehemu nyingi tu za bara letu?.
Msikariri maisha, mnataka uhuru wa kujieleza ili mpate sehemu ya kupungua machungu yenu ya maisha.
Mtu agombane na mkewe halafu wa kumpunguzia hasira awe rais!
Mtu afukuzwe kazi au aachwe na mpenzi wake na wakumpunguzia hasira awe rais!.
Kuweni tu wapole.
Umejibu mada hii hii au unazungumzia jambo lingine?Wao ni wao na sisi ni sisi. Unajua kuwa hao ndio waliotutawala?. Unajua kwamba hao mwaka 1884 walikuwa wanazijua sehemu zote za afrika wakati sisi waafrika hatujui sehemu nyingi tu za bara letu?.
Msikariri maisha, mnataka uhuru wa kujieleza ili mpate sehemu ya kupungua machungu yenu ya maisha.
Mtu agombane na mkewe halafu wa kumpunguzia hasira awe rais!
Mtu afukuzwe kazi au aachwe na mpenzi wake na wakumpunguzia hasira awe rais!.
Kuweni tu wapole.
Ingekuwa ni huku kwetu, sijui nini kingewapata hao wananchi!!
Wao ni wao na sisi ni sisi. Unajua kuwa hao ndio waliotutawala?. Unajua kwamba hao mwaka 1884 walikuwa wanazijua sehemu zote za afrika wakati sisi waafrika hatujui sehemu nyingi tu za bara letu?.
Msikariri maisha, mnataka uhuru wa kujieleza ili mpate sehemu ya kupungua machungu yenu ya maisha.
Mtu agombane na mkewe halafu wa kumpunguzia hasira awe rais!
Mtu afukuzwe kazi au aachwe na mpenzi wake na wakumpunguzia hasira awe rais!.
Kuweni tu wapole.
Kwa hiyo wewe ukipewa uhuru wa kujieleza hayo ndo utakayofanya ?Msikariri maisha, mnataka uhuru wa kujieleza ili mpate sehemu ya kupungua machungu yenu ya maisha.
Mtu agombane na mkewe halafu wa kumpunguzia hasira awe rais!
Mtu afukuzwe kazi au aachwe na mpenzi wake na wakumpunguzia hasira awe rais!.
Kuweni tu wapole.
Huyu wa kwetu anafatana na kombania nzima ya walinzi, utamfikiaje kwanza?Ingekuwa ni huku kwetu, sijui nini kingewapata hao wananchi!!
Mbona Rais Magufuli akiwa ziarani huzungumza na wananchi barabarani au wewe unaishi Congo.
Fika soko la samaki ferry utasimuliwa vizuri wewe kamanda wa Ufipa!
Kweli kabisa wao sio wakudanganywa na vyama vya siasa kuwa wakishinda watejenga nchi wakati vyama wenyewe wanashindwa kujenga hata ofisi zao za kuelewekaMnapoona wenzetu wanapiga hatua,msifikiri ni miujuzi, bali ni kwasababu wanajitambua kama huyo mwananchi anaempa ukweli huyo waziri mkuu wake.
Hao wananchi sio wa kudanganywa kwa propaganda za vyombo vya habari wala kwa kupewa kofia na kanga/vitenge kama huku kwetu.
Nyie endeleeni kuimba mapambio na kutukuza huku mkiendelea kuombaomba na umasikini ukiendelea ukishika kasi.
Mbona Rais Magufuli akiwa ziarani huzungumza na wananchi barabarani au wewe unaishi Congo.
Fika soko la samaki ferry utasimuliwa vizuri wewe kamanda wa Ufipa!
Hiyo si kweli.Wao ni wao na sisi ni sisi. Unajua kuwa hao ndio waliotutawala?. Unajua kwamba hao mwaka 1884 walikuwa wanazijua sehemu zote za afrika wakati sisi waafrika hatujui sehemu nyingi tu za bara letu?.
Msikariri maisha, mnataka uhuru wa kujieleza ili mpate sehemu ya kupungua machungu yenu ya maisha.
Mtu agombane na mkewe halafu wa kumpunguzia hasira awe rais!
Mtu afukuzwe kazi au aachwe na mpenzi wake na wakumpunguzia hasira awe rais!.
Kuweni tu wapole.
Umaskini unaanza na wewe mwenyewe, unaanza na akili zako na jitihada zako za kutafuta maisha bora zaidi.Mnapoona wenzetu wanapiga hatua,msifikiri ni miujuzi, bali ni kwasababu wanajitambua kama huyo mwananchi anaempa ukweli huyo waziri mkuu wake.
Hao wananchi sio wa kudanganywa kwa propaganda za vyombo vya habari wala kwa kupewa kofia na kanga/vitenge kama huku kwetu.
Nyie endeleeni kuimba mapambio na kutukuza huku mkiendelea kuombaomba na umasikini ukiendelea ukishika kasi.
Mbona hatukuwatawala kama tuliwajua kabla hawajatujua?.Hiyo si kweli.
Waafrika tulipajua kwao kwanza na tulipatawala.
Soma historia za ukweli achana na historia za kurithishwa na wazungu, ni uongo mtupu.
Wanataka na rais wetu au Kassim wawe tayari kupokea maoni ya aina yoyote ile majukwaani au njiani, wanataka wawe ni watu wenye moyo kama wa JK, unamtukana leo yeye kesho huyoo anakwea pipa akielekea Australia.Mbona Rais Magufuli akiwa ziarani huzungumza na wananchi barabarani au wewe unaishi Congo.
Fika soko la samaki ferry utasimuliwa vizuri wewe kamanda wa Ufipa!