Ni moto wa kuotea mbali mzee, anza na hyo Homeland.
Ndio Mkuu..mimi pia naijaribu kuna mdau kaitja hapo juu.
App gani mnatumia, namaanisha mb tumimi ndio nimemaliza kuipakua hapa, nitaiangalia baada ya mechi ya simba
siku hizi pia watu wanatumia google drive, hizi baadhiKuna zile za direct link huwa anaziwekaga Chief-Mkwawa huwa nazielewa sana mkuu...!
SeriesHiyo ni full movie au ni series mkuu...?
mimi natumia simu nina samsung A50App gani mnatumia, namaanisha mb tu
Mkuu tunaomba darasa zaidi mkuu hasa hyo link ya kwanza na je naweza nikadownlod ikiwa na subtitles kabisa??siku hizi pia watu wanatumia google drive, hizi baadhi
z14n.com | Index of: /Videos/
files.z14n.com
hii ya ukweli sana full speed
sikufanikiwa aisee, niliunganisha na game ya man u time ikaisha.Unipe mrejesho mkuu
Jibu fupi huwezi, ila sometime movies nyengine zinakuwa na subtitle ndani.Mkuu tunaomba darasa zaidi mkuu hasa hyo link ya kwanza na je naweza nikadownlod ikiwa na subtitles kabisa??
Ok chifuJibu fupi huwezi, ila sometime movies nyengine zinakuwa na subtitle ndani.
Player nyingi lakini zina uwezo wa kudownload subtitle.
Ingia hapa..yify movie kwa google search au popcorn
Nimeitazama hii movie leo.Movie ni kali sana nimekubali.Crimson tide. respect hajawah kuniangusha mzee Danzel.
Kuna Marksman na No body na wadau wanazisifia Sana.Mkuu hebu naomba majina ya movies kali za mwaka jana mfano wa Extraction and the like tafadhali...!
Au hata kama kuna mdau yoyote mwenye kujua anisaidie kushusha list za movies za aina hiyo please.
Natanguliza shukran wakuu.
Kuna Marksman na No body na wadau wanazisifia Sana.