Kuna mstari katika maandiko matakatifu usemao,,all things work together for good. mambo yote utenda kazi pamoja kwa uzuri.
CCM kufadhili Cuf Lipuamba wamekosea sana, maana wameunganisha wapinzani na kuwa chama kikubwa mno chenye uwezo wa kuchukuwa dola. Kwanza niwahakikishie Cuf Lipumba ccm B inafutika Z,bar maana hawatakuwa tayari kuongozwa na msaliti mwovu Ibrahim Lipumba, hivyo Cuf Z,bar inakwenda kuunguna na Chadema au Act na kusababisha Cuf kutokuwepo Z,bar.
Vyama vyote wa ushindani vinaenda kuungana na kuunda chama kimoja chenye nguvu kubwa, na huu unaweza kuwa ndio muundo wake.
Mwenyekiti Mbowe
Makamu Zitto Kabwe
Katibu mkuu Maalim Seif
Naibu Katibu mkuu Mbatia.
Watakao gombea Urais Bara Tundu Lissu
Upande wa visiwani Maalim Seif.
Halafu tume huru lazima itatokana na upinzani kukataa kuingia kwenye uchaguzi bila tume huru...watafanya maandamano kila siku na polisi wakiendelea kuwazuia ipo nguvu kubwa ya wananchi itakao waunga mkono maana wamechoka kunyanywaswa
CCM kufadhili Cuf Lipuamba wamekosea sana, maana wameunganisha wapinzani na kuwa chama kikubwa mno chenye uwezo wa kuchukuwa dola. Kwanza niwahakikishie Cuf Lipumba ccm B inafutika Z,bar maana hawatakuwa tayari kuongozwa na msaliti mwovu Ibrahim Lipumba, hivyo Cuf Z,bar inakwenda kuunguna na Chadema au Act na kusababisha Cuf kutokuwepo Z,bar.
Vyama vyote wa ushindani vinaenda kuungana na kuunda chama kimoja chenye nguvu kubwa, na huu unaweza kuwa ndio muundo wake.
Mwenyekiti Mbowe
Makamu Zitto Kabwe
Katibu mkuu Maalim Seif
Naibu Katibu mkuu Mbatia.
Watakao gombea Urais Bara Tundu Lissu
Upande wa visiwani Maalim Seif.
Halafu tume huru lazima itatokana na upinzani kukataa kuingia kwenye uchaguzi bila tume huru...watafanya maandamano kila siku na polisi wakiendelea kuwazuia ipo nguvu kubwa ya wananchi itakao waunga mkono maana wamechoka kunyanywaswa