Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,024
- 24,374
Wanajamvi, hivi wafanyabiashara wana muda maalum wa kutoa risiti za efd?
Wenye biashara na wazoefu, pia hata mamlaka husika inaweza kutusaidia kwenye hili!
Jambo lililonifanya nihoji hili ni kwamba nimekwenda dukani karikoo, mida ya saa 12:40 hivi jioni na kutaka kununua bidhaa flani!
Baada ya kuikagua hiyo bidhaa na kuridhika nayo nilianza mchakato wa kuilipia lakini nikamuhoji muuzaji pia kama anaweza kunipa risiti ya efd!
Ghafla yule muuzaji akanijibu kwa hasira kuwa ameshafunga mahesabu na kamwe hawezi kutoa mashine kwa ajili ya mtu mmoja tu na kwamba bidhaa niliyotaka kununua basi nisiinunue tena niiache!
Sasa je ni kwamba kweli kuna muda maalum wa kutoa hizo risiti?
Hii ishu imekaaje...
Wenye biashara na wazoefu, pia hata mamlaka husika inaweza kutusaidia kwenye hili!
Jambo lililonifanya nihoji hili ni kwamba nimekwenda dukani karikoo, mida ya saa 12:40 hivi jioni na kutaka kununua bidhaa flani!
Baada ya kuikagua hiyo bidhaa na kuridhika nayo nilianza mchakato wa kuilipia lakini nikamuhoji muuzaji pia kama anaweza kunipa risiti ya efd!
Ghafla yule muuzaji akanijibu kwa hasira kuwa ameshafunga mahesabu na kamwe hawezi kutoa mashine kwa ajili ya mtu mmoja tu na kwamba bidhaa niliyotaka kununua basi nisiinunue tena niiache!
Sasa je ni kwamba kweli kuna muda maalum wa kutoa hizo risiti?
Hii ishu imekaaje...