Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,998
- 144,338
Tunaweza kuwa tunaimiza vichwa juu ya haya yanayoendelea na pengine tukawa hazipati majibu na tunashindwa kuwaelewa hawa watu tuliowapa dhamana kwanini wanafanya au kutenda haya.
Naomba niwaambie sababu kubwa ni hii:
"Chama cha siasa au Mtawala ambae yuko madarakani kwa muda mrefu au mfupi, lakini teyari ametenda dhambi au maovu mengi, dhambi na maovu hayo ndio huongoza nchi na si tena busara,maarifa wala hekima ya kiongozi au chama chake"..
Naomba niwaambie sababu kubwa ni hii:
"Chama cha siasa au Mtawala ambae yuko madarakani kwa muda mrefu au mfupi, lakini teyari ametenda dhambi au maovu mengi, dhambi na maovu hayo ndio huongoza nchi na si tena busara,maarifa wala hekima ya kiongozi au chama chake"..