kiwiko
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 1,307
- 2,063
Kudai ng'ombe nyingi kwa ajili ya mwali mweupe kwa wale ndugu zetu wasukuma ni ubaguz wa rangi.
Mwanaume kusema hupendi wadada weusi ni ubaguz wa rangi.
Mdada kuchukia wanaume weusi ni ubaguz wa rangi.
Kuchagua miss tanzania mweupe kila siku ni ubaguz wa rangi
Kuajiri wadada weupe tu kwenye biashara ni ubaguz wa rangi.
Kutumia wadada weupe tu kwenye bongo movie ni ubaguz wa rangi
Kutumia wadada weupe pekee kwenye matangazo ya tv ni ubaguz wa rangi
Tujitafakari.
Waafrika kwa muda mrefu tumeteswa na watu wa mataifa mengine kutokana na rangi yetu. Tumenyanyaswa kila kona kuanzia america kaskazini, america kusini, ulaya, asia na kwingineko. Tusifanyie watu wetu ubaguz huo.
Nimeona watu wakimtania Baraka Da prince kwa weusi wake. Hili ni jambo la kulaaniwa kabisa na hatua zichukuliwe kwa wanaoleta dhihaka hizi.
Mwanaume kusema hupendi wadada weusi ni ubaguz wa rangi.
Mdada kuchukia wanaume weusi ni ubaguz wa rangi.
Kuchagua miss tanzania mweupe kila siku ni ubaguz wa rangi
Kuajiri wadada weupe tu kwenye biashara ni ubaguz wa rangi.
Kutumia wadada weupe tu kwenye bongo movie ni ubaguz wa rangi
Kutumia wadada weupe pekee kwenye matangazo ya tv ni ubaguz wa rangi
Tujitafakari.
Waafrika kwa muda mrefu tumeteswa na watu wa mataifa mengine kutokana na rangi yetu. Tumenyanyaswa kila kona kuanzia america kaskazini, america kusini, ulaya, asia na kwingineko. Tusifanyie watu wetu ubaguz huo.
Nimeona watu wakimtania Baraka Da prince kwa weusi wake. Hili ni jambo la kulaaniwa kabisa na hatua zichukuliwe kwa wanaoleta dhihaka hizi.