Mara zote Chadema huwa ni watu wastàarabu watu wa furaha na hamasa tu that's all, tatizo CCM hawapendi kuona wenzao wakifurahi watafanya kila mbinu kuwachokoza wakizidiwa wanakimbilia polisi.
Tupingane kwa hoja sio kwa risasi, tukutane Feb, 17.
Hii ni amsha amsha tu ya makamanda kuonyesha wanaume wamerudi, CCM wasije kukimbia.
Tupingane kwa hoja sio kwa risasi, tukutane Feb, 17.
Hii ni amsha amsha tu ya makamanda kuonyesha wanaume wamerudi, CCM wasije kukimbia.