Shikoloo.
Member
- Nov 16, 2015
- 29
- 18
Leo katika shughuri zangu nikaletewa barua na mkurugenzi wa Misungwi ikinitaka nilipe 50000 kwa ajili ya mwenge,nimejiuliza sana yaani nilipe
Leseni ya biashara,
Ushuru,
Kodi ya jengo,
Kodi ya kiwanja,
Takataka
Umeme
Maji
Halafu tena nilipie Mwenge kama ni wa kula.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leseni ya biashara,
Ushuru,
Kodi ya jengo,
Kodi ya kiwanja,
Takataka
Umeme
Maji
Halafu tena nilipie Mwenge kama ni wa kula.
Sent using Jamii Forums mobile app