Namaanisha mentality, attitude, lower your expectations utapata bonge la mume! Waliopo humu ndio hao wa mtaani, siamini km kuna mwanaume msomi haifahamu JF
Hata mimi nimeshangaaSasa kama hutaki JF nini kinakufanya uje kututangazia shida zako?
Anataka tumpe baraka na maombi kwani kuna shida?Sasa kama hutaki JF nini kinakufanya uje kututangazia shida zako?
Wewe kweli lobbyist. Unatufahamu?
Ha ha ha JF raha sana maanake posts zinafanya watu wanatengeneza picha za ajabu!Kwa uzoefu wangu wa ki lobbyist RRONDO anamuelewa Miss Natafuta kwa kiasi fulani halafu Miss Natafuta anamuelewa sana RRONDO . Naweza kuamini baadhi ya juzi za Miss Natafuta zinamlenga RRONDO ila jamaa bado anakausha tu!
Ishu ipo hapa: Miss Natafuta anamsikilizia RRONDO atupe ndoano, halafu jamaa anakausha kimtindo. Mrembo anamshutua jamaa kwa nyuzi kibao jamaa kakaza.
Kwa nini jamaa akaushe? Sababu ya JF effect.
Disclaimer: Hizi ni hisia zangu tu, hayana ukweli wowote unaopaswa kuaminika!
Siku zpo bado mkuu
Nimeshangaa sana yani.kwani Wewe uko single?Ha ha ha JF raha sana maanake posts zinafanya watu wanatengeneza picha za ajabu!
Nani single maza sasa? Na Hata ningekuwa single maza kuna ubaya gani?Watu hawana habari na singo MAZA na usawa huu hela ya xmas ya mtoto na mama hujakaa sawa january mtoto ada
Yes I'm single.Nimeshangaa sana yani.kwani Wewe uko single?
Sitaki mwanaume wa humu mkuuUnaishi wap? Mimi nipo kigamboni tuchekiane 076682...........nitakupenda ulivyo na mimi nipo vzr njoo pm nimalizie no usipuuze mkuu
Atampata kama G...Unakutanaga na majambazi tu poyee ipo siku utapata
Mana g nilikupa chance ukapotezea. Nakupa chance tena ...nikupeleke mosh kabisa
Hahahaha haha hivi kuna mateka kama wewe unayejipigia promo na ID nyingine??Wewe ni mateka, usiniulize nimejuaje. Usijae upepo.
Yes ipo siku atapata wa kumpa furaha na raha hatojutaAtampata kama G...
Aise usituletee huyo kiumbe huku kwetu waachie wanaume wa darMana g nilikupa chance ukapotezea. Nakupa chance tena ...nikupeleke mosh kabisa
LohYes I'm single.