Huu Muziki wa Kijeshi wa China siyo mchezo: China sasa hivi siyo ya kuchezewa wako fiti

Sasa kama anakopeshwa hela na mchina halafu anatumia hizo pesa kwenye jeshi nani mjanja hapo?.

Halafu kitu kingine ujue ni kwamba Mchina akiweka bajeti ya dola 10 basi mmarekani ataweka bajeti ya dola 50 kwa kitu kilekile, siyo kwa sababu cha mmarekani ni kizuri zaidi bali ni kwa sababu cost of production China ni cheap

Nyinyi hamuijui China vizuri, kuna vitu mchina anavyo Marekani hana mfano mmoja ni fast moving trains, yaani kama ile unayotoka beijing mpaka Shanghai kwa masaa matano tu.

Mkuu:
Hiyo ni kweli, kuna ushahidi mwingine huu hapa;
The current fastest Train speed in the World is 267.8mph approx.(431.158kms/h)
Shanghai MAGLEV in China. Operates between Long Yang Road to Pudong Intl. Airport.
 
TUSHIBISHANE VITU VILIVYO WAZI KAKA.
HIVI UNAJUA KAMA USA PIA INAONGOZA KU CONSUME CHINESE MADE GOODS???
CHINA ANATENGENEZA VITU VYA FIRST WORLD COUNTRIES NA THIRD WORLD COUNTRIES AMA HAULIJUI HILO??
ASA KM HAUJUI KUNA VIFAA HATA VYA KIJESHI ZIKIWEMO MANOWARI CHINA ANAUZA NAYE NDIYE MTENGENEZAJI BORA WA MANOWARI.
CHINA INA CONTRIBUTE 60% OF MANUFACTURED GOODS DUNIANI.
HUAWEI UTAKAYOUZIWA WW USIFANANISHE NA HUAWEI ATAKAYOUZIWA USA AMA GERMANY.
HATA RAILWAY HIZI ZA CHINA STANDARDS NDIZO ZINAZOONGOZA ULIMWENGUNI KWA UBORA KUNA CHINA CLASS 1 ,2 NA 3.
CHINA CLASS 3 NA 2 NDIO TUNAJENGEWA SISI HUKU AFRICA KM WALIYOJENGEWA ETHIOPIA NA KENYA.
CHINA CLASS 1 WANAJENGA MATAIFA YA MBELE.
NAKUSISITIZA KAKA CHINA HATENGENEZI VIFU FAKE PEKE YAKE.
ANATENGENEZA KULINGANA NA HALI YA UCHUMI YA SEHEM.
NDIO MAANA UNAONA ANA WIN KTK BIASHARA KULIKO MATAIFA YA KIBEPARI.
KWASABABU ATAKUTENGENEZEA WW KITU AMBACHO CHA LOW QUALITY ILI AKUUZIE KWA BEI ITAYOKUFAA KULINGANA NA UCHUMI WAKO HUSUSAN SISI WAAFRICA NA ATATENGENEZA GENUINE GOODS KWAAJILI YA MATAIFA YENYE HELA KM UARABUNI NA KWENGINEKO.
NA NIKUFAHAMISHE KITU KIMOJA KAKA UNAONA VITU VILE AMBAVYO VIMEANDIKWA MADE IN UAE KM FRIDGES N.K N.K AMBAVYO WATZ HUTUMIA MITUMBA YAKE NA INADUMU?
WAENDESHAJI NA WATENGENEZAJI WA HIZO GOODS NI CHINA WAKIWA NDANI YA MATAIFA YA KIARABU LAKN PRODUCT INAANDIKWA YA UAE.
DUBAI WANA ROADS TATU BORA KWA UHIMARA NA UBORA DUNIANI NA MJENZI WA HIZO ROADS NI CHINA.
MFANO KAKA MIMI NILIPATA SIM YA SAMSUNG CHINESE MADE NA ILIKUA NIMEPEWA TU KULE KULE NA MCHIZI NIKABADILISHA SETTING TOKA ZA CHINESE KUJA ENGLISH NA ILIKUA IMETUMIKA MUDA TU ILA HADI SASA NINAYO KM KUMBUKUMBU NA NAITUMIA.
WAAFRIKA HATUNA HELA YA KUNUNUA OG YA MCHINA MWACHE ATUUZIE FAKE GOODS TU UKITAKA OG KAMFATE KWAKE.

KAKA USIMBEZE HUYU JAMAAA.
MFUATILIE VEMA.
Kweli kaka
Kwa mfano Metro Rail-Subways na Flyover highways, Underground tunnels, alizokuwa nazo China kwenye miji yake mikubwa kama vile Shanghai, Beijing, Shenzhen, Chongqing etc ni za kisasa zaidi kuliko zilizoko katika mji wowote wa Marekani.
 
Mkuu:
Hiyo ni kweli, kuna ushahidi mwingine huu hapa;
The current fastest Train speed in the World is 267.8mph approx.(431.158kms/h)
Shanghai MAGLEV in China. Operates between Long Yang Road to Pudong Intl. Airport.

Hiyo Magnetic Train ambayo mchina anayo, Marekani hana
Kuna Kipindi Jimbo la California lilikuwa kwenye mazungumzo lijengewe reli ya kisasa na mchina
 
Kinachomfanya China adharaulike ni kucopy na kupaste kwenye teknolojia yaani hana kitu kinachomtambulisha. Akiona Marekani katengeneza ndege na yeye anatengeneza yenye muundo uleule hata kwenye simu. Hizo silaha asilimia 78% kacopy na kupaste kutoka kwa USA.


Sawaa, anakopi na kukiboresha zaidi...nachompendea mchina anatengeneza kitu high au low quality kwa sisi masikini..kuna engine za magari, mfano mercedes benz, BMW kutoka mjerumani yeye anakufanyia unavyotaka..unataka fake anakufanyia, OG anakufanyia ni wewe tu...hawa ndio wakombozi wetu na sio mabeberu.
 
TUSHIBISHANE VITU VILIVYO WAZI KAKA.
HIVI UNAJUA KAMA USA PIA INAONGOZA KU CONSUME CHINESE MADE GOODS???
CHINA ANATENGENEZA VITU VYA FIRST WORLD COUNTRIES NA THIRD WORLD COUNTRIES AMA HAULIJUI HILO??
ASA KM HAUJUI KUNA VIFAA HATA VYA KIJESHI ZIKIWEMO MANOWARI CHINA ANAUZA NAYE NDIYE MTENGENEZAJI BORA WA MANOWARI.
CHINA INA CONTRIBUTE 60% OF MANUFACTURED GOODS DUNIANI.
HUAWEI UTAKAYOUZIWA WW USIFANANISHE NA HUAWEI ATAKAYOUZIWA USA AMA GERMANY.
HATA RAILWAY HIZI ZA CHINA STANDARDS NDIZO ZINAZOONGOZA ULIMWENGUNI KWA UBORA KUNA CHINA CLASS 1 ,2 NA 3.
CHINA CLASS 3 NA 2 NDIO TUNAJENGEWA SISI HUKU AFRICA KM WALIYOJENGEWA ETHIOPIA NA KENYA.
CHINA CLASS 1 WANAJENGA MATAIFA YA MBELE.
NAKUSISITIZA KAKA CHINA HATENGENEZI VIFU FAKE PEKE YAKE.
ANATENGENEZA KULINGANA NA HALI YA UCHUMI YA SEHEM.
NDIO MAANA UNAONA ANA WIN KTK BIASHARA KULIKO MATAIFA YA KIBEPARI.
KWASABABU ATAKUTENGENEZEA WW KITU AMBACHO CHA LOW QUALITY ILI AKUUZIE KWA BEI ITAYOKUFAA KULINGANA NA UCHUMI WAKO HUSUSAN SISI WAAFRICA NA ATATENGENEZA GENUINE GOODS KWAAJILI YA MATAIFA YENYE HELA KM UARABUNI NA KWENGINEKO.
NA NIKUFAHAMISHE KITU KIMOJA KAKA UNAONA VITU VILE AMBAVYO VIMEANDIKWA MADE IN UAE KM FRIDGES N.K N.K AMBAVYO WATZ HUTUMIA MITUMBA YAKE NA INADUMU?
WAENDESHAJI NA WATENGENEZAJI WA HIZO GOODS NI CHINA WAKIWA NDANI YA MATAIFA YA KIARABU LAKN PRODUCT INAANDIKWA YA UAE.
DUBAI WANA ROADS TATU BORA KWA UHIMARA NA UBORA DUNIANI NA MJENZI WA HIZO ROADS NI CHINA.
MFANO KAKA MIMI NILIPATA SIM YA SAMSUNG CHINESE MADE NA ILIKUA NIMEPEWA TU KULE KULE NA MCHIZI NIKABADILISHA SETTING TOKA ZA CHINESE KUJA ENGLISH NA ILIKUA IMETUMIKA MUDA TU ILA HADI SASA NINAYO KM KUMBUKUMBU NA NAITUMIA.
WAAFRIKA HATUNA HELA YA KUNUNUA OG YA MCHINA MWACHE ATUUZIE FAKE GOODS TU UKITAKA OG KAMFATE KWAKE.

KAKA USIMBEZE HUYU JAMAAA.
MFUATILIE VEMA.


Umeuwa kamanda
 
Vitu kama hivi Marekani hana, kama anavyo nionyesheni picha hata moja huko New York, Au Washington DC

Img-1570440694050.jpg
 
Marekani major means of transport kwao ni ndege so reli wanaipa priority ndogo

Mkuu:
Ni vyema ufahamu kuwa Railway Transport Mode ina mchango mkubwa sana ktk uchumi wa nchi yeyote ile duniani, hususan ukizingatia gharama na uwezo wa kubeba mizigo mizito. (Rail ni namba mbili ya kwanza ni Maritime). Hapa haihusishwi na ubebaji wa abiria ambao hauna mchango mkubwa kwenye uchumi kulingana na mchango wako.
Hivyo hayo uliyo yaandika si kweli hata kidogo.
 
Huyo Marekani wako unayemhusudu ashakutana na Mchina huko Korea miaka ya 50s

Marekani alikuwa amebakiza kilometa Chache tu aikamate Pyongyang.

Mchina alipoingilia kati tena bila ya kuwa na misilaha mikubwakubwa alimsogeza huyo Marekani kutoka Pyongyang kuelekea eneo ambalo leo ipo hiyo inayoitwa Demilitarized Zone (DMZ), Tena kama Marekani asingeomba po kupitia UN, Mchina na mshirika wake yaani North Korea walikuwa wanaelekea Seol fasta sana!.

Marekani na madudedude yake keshachezea kichapo huko Vietnam, Nenda kagoogle kitu kinachoitwa Tet Offensive Au katafute information jinsi wanajeshi wa Marekani na washirika wa marekani walivyokuwa wakikimbizana kama kuku pale wanaume wa Vietcong walipokuwa wanasonga kuelekea Saigon.

Hao wamarekani wako bila kwenda na allies zenye nguvu kubwa kijeshi kama vile Muingereza huwa hawana uhakika wa kushinda vita.

Hata huko Afghanistan, Huyo Marekani wako ameshindwa kuishinda Taleban, na Taleban wanashikilia eneo zaidi ya aslimia 70 ya nchi nzima, halafu unaleta habari za Marekani?
Pia angalia China wali-mobilize askari wa ngapi na pia marekani alikuwa na askari wa ngapi katika hiyo vita.
 
Lets assume unapewa option ya kupewa Passport ya China AU ya USA-unachagua ipi? na nini kina influence uchaguzi wako?
 
Lets assume unapewa option ya kupewa Passport ya China AU ya USA-unachagua ipi? na nini kina influence uchaguzi wako?

Mimi Passport ya bongo inantosha mkuu ukiwa bongo unaweza kumiliki ardhi maheka na maheka ukapiga kilimo, ufugaji, ukajenga kijumba chako cha gorofa kadhaa.

SASA HEBU KAJARIBU KUWA NAVYO HIVYO VITU UKIWA CHINA AU MAREKANI UONE KAMA UTAWEZA
 
Ninavyoangalia hivi nakumbuka na sisi tulitoa machuma ya kuruka km 120 tulionekana kama wamarekani kiuwezo,kweli dunia haipo fea.
Machuma yapi bro,?
Sisi missile zetu zinaitwa interstreets badala ya intercontinental unakumbuka yanatoka gongo la mboto linaanguka kisarawe
 
Mimi Passport ya bongo inantosha mkuu ukiwa bongo unaweza kumiliki ardhi maheka na maheka ukapiga kilimo, ufugaji, ukajenga kijumba chako cha gorofa kadhaa.

SASA HEBU KAJARIBU KUWA NAVYO HIVYO VITU UKIWA CHINA AU MAREKANI UONE KAMA UTAWEZA
Jibu swali-Bongo haiusiki hapo-swala hapo ni maisha yenye viwango.
 
TUSHIBISHANE VITU VILIVYO WAZI KAKA.
HIVI UNAJUA KAMA USA PIA INAONGOZA KU CONSUME CHINESE MADE GOODS???
CHINA ANATENGENEZA VITU VYA FIRST WORLD COUNTRIES NA THIRD WORLD COUNTRIES AMA HAULIJUI HILO??
ASA KM HAUJUI KUNA VIFAA HATA VYA KIJESHI ZIKIWEMO MANOWARI CHINA ANAUZA NAYE NDIYE MTENGENEZAJI BORA WA MANOWARI.
CHINA INA CONTRIBUTE 60% OF MANUFACTURED GOODS DUNIANI.
HUAWEI UTAKAYOUZIWA WW USIFANANISHE NA HUAWEI ATAKAYOUZIWA USA AMA GERMANY.
HATA RAILWAY HIZI ZA CHINA STANDARDS NDIZO ZINAZOONGOZA ULIMWENGUNI KWA UBORA KUNA CHINA CLASS 1 ,2 NA 3.
CHINA CLASS 3 NA 2 NDIO TUNAJENGEWA SISI HUKU AFRICA KM WALIYOJENGEWA ETHIOPIA NA KENYA.
CHINA CLASS 1 WANAJENGA MATAIFA YA MBELE.
NAKUSISITIZA KAKA CHINA HATENGENEZI VIFU FAKE PEKE YAKE.
ANATENGENEZA KULINGANA NA HALI YA UCHUMI YA SEHEM.
NDIO MAANA UNAONA ANA WIN KTK BIASHARA KULIKO MATAIFA YA KIBEPARI.
KWASABABU ATAKUTENGENEZEA WW KITU AMBACHO CHA LOW QUALITY ILI AKUUZIE KWA BEI ITAYOKUFAA KULINGANA NA UCHUMI WAKO HUSUSAN SISI WAAFRICA NA ATATENGENEZA GENUINE GOODS KWAAJILI YA MATAIFA YENYE HELA KM UARABUNI NA KWENGINEKO.
NA NIKUFAHAMISHE KITU KIMOJA KAKA UNAONA VITU VILE AMBAVYO VIMEANDIKWA MADE IN UAE KM FRIDGES N.K N.K AMBAVYO WATZ HUTUMIA MITUMBA YAKE NA INADUMU?
WAENDESHAJI NA WATENGENEZAJI WA HIZO GOODS NI CHINA WAKIWA NDANI YA MATAIFA YA KIARABU LAKN PRODUCT INAANDIKWA YA UAE.
DUBAI WANA ROADS TATU BORA KWA UHIMARA NA UBORA DUNIANI NA MJENZI WA HIZO ROADS NI CHINA.
MFANO KAKA MIMI NILIPATA SIM YA SAMSUNG CHINESE MADE NA ILIKUA NIMEPEWA TU KULE KULE NA MCHIZI NIKABADILISHA SETTING TOKA ZA CHINESE KUJA ENGLISH NA ILIKUA IMETUMIKA MUDA TU ILA HADI SASA NINAYO KM KUMBUKUMBU NA NAITUMIA.
WAAFRIKA HATUNA HELA YA KUNUNUA OG YA MCHINA MWACHE ATUUZIE FAKE GOODS TU UKITAKA OG KAMFATE KWAKE.

KAKA USIMBEZE HUYU JAMAAA.
MFUATILIE VEMA.
Natamani watu wakuelewe kama nnavyo kuelewa mm mkuu ila DAAAAAH
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom