Huu mtindo wa kila Jambo kuilaumu serikali utatugarimu vijana

muhala.jr

JF-Expert Member
Jul 25, 2014
728
600
Kumekua na hii tabia sasa kila mahali....mtu anapofeli katik mambo yake anaanza kusema serikal hii bwana,au hi yote ni CCM..

Tuache hio kasumba...mtu hata akikosa hela ya Kodi analalamikia serikali....kwa ss tuliona awamu kadhaa za madaraka hakuna utawala ambao haukua na lawama..huyu jk anaeonwa Leo alikua mzur watu walimponda pia...sasa tuache maneno tufanye kazi...

Tujitume, mafanikio yatakuja taratbu shida unakuta mtu amemaliz tu chuo anatak apate ajira..ajenge awe na gar na mtoto mzuri...wakat wengine tunakomaa na game tangu way back....kila kitu kinakuja taratbu tuu achen papara ya maisha Apo ndo mnapofel na lawama zinaanguka kwa serikali wakati wewe ukipata laki unatak kwend kununua jeans ya kubana mapaja na kunywa pombe asubui anaanza kuilaumu serikal...
 
Mkuu tangu niwe jamiiforum sijawahi kuona mtu akisema hivyo kama wewe unavyo tamka, vijana wanacho lalamki kuwa na sera mbovu za uendeshaji nchi. Ndio ufikia kuwa na maisha sio mazuri

Upo wapi mkuu siku katembee mijini uone vijana wanavyo fanya kazi.

Tambua kusema ukweli sio dhambi sera ya huyu jamaa ni mbovu sana
 
Kumekua na hii tabia sasa kila mahali....mtu anapofeli katik mambo yake anaanza kusema serikal hii bwana,au hi yote ni CCM...tuache hio kasumba...mtu hata akikosa hela ya Kodi analalamikia serikali....kwa ss tuliona awamu kadhaa za madaraka hakuna utawala ambao haukua na lawama..huyu jk anaeonwa Leo alikua mzur watu walimponda pia...sasa tuache maneno tufanye kazi...tujitume..mafanikio yatakuja taratbu shida unakuta mtu amemaliz tu chuo anatak apate ajira..ajenge awe na gar na mtoto mzuri...wakat wengine tunakomaa na game tangu way back....kila kitu kinakuja taratbu tuu achen papara ya maisha Apo ndo mnapofel na lawama zinaanguka kwa serikali..wakati wewe ukipata laki unatak kwend kununua jeans ya kubana mapaja na kunywa pombe asubui anaanza kuilaumu serikal...
Sasa hutaki watu watoe hisia zao ? Maana ya demokrasia ninini ? Au hujui
 
Sasa alaumiwe nani? Serikali ndio inayoutunga sera, ndio inayoweka mazingira wezeshi, ndio inayokusanya kodi, alafu isilaumiwe tena maisha ya watu yanapokua magumu? Watu wanachakarika kufanya kazi lakini hola.....
 
Mkuu tangu niwe jamiiforum sijawahi kuona mtu akisema hivyo kama wewe unavyo tamka, vijana wanacho lalamki kuwa na sera mbovu za uendeshaji nchi. Ndio ufikia kuwa na maisha sio mazuri

Upo wapi mkuu siku katembee mijini uone vijana wanavyo fanya kazi.

Tambua kusema ukweli sio dhambi sera ya huyu jamaa ni mbovu sana
Let say we upo katika nafas yake ungefanya kitu gan kwa vijana was tz walio takriban mil 20
 
  • Thanks
Reactions: Uda
Well said walahi
Lakini tambua kuwa ni vijana wa chama kile cha dikteta anaekula ruzuku tu ndio mabigwa wa kulalamika nao ni watu wa kubaki jangwani milele walahi
Sisi wengine kazi mtindo moja walahi
 
Lini umeona maisha marahis kwa mtu asiyejituma ???? Wewe ukipewa fursa unadhan ungefany nn kwa vijana....hata ao CDM wamekata pumzi....
Sasa alaumiwe nani? Serikali ndio inayoutunga sera, ndio inayoweka mazingira wezeshi, ndio inayokusanya kodi, alafu isilaumiwe tena maisha ya watu yanapokua magumu? Watu wanachakarika kufanya kazi lakini hola.....
 
Well said walahi
Lakini tambua kuwa ni vijana wa chama kile cha dikteta anaekula ruzuku tu ndio mabigwa wa kulalamika nao ni watu wa kubaki jangwani milele walahi
Sisi wengine kazi mtindo moja walahi
Cjui Kama Kuna serikal inagawa milionmilon kwa vijana wake....
 
Umezungumzia kukosa kodi ya nyumba kwani kodi ya nyumba ambayo ni kutoa pesa wap zinpatikana? Tatizo ni mfumo usio rafiki kwa wengi uwizi mwengi serikalini ukihoji unaonekana mchochezi vyama pinzani kunyanyaswa ambayo ndo hukemea hayo maovu wtumishi wa umma hawapati stahiki zao za msingi kama annual increments biashara kodi kubwa haziendani na uhalisia wa biashara. Halafu elewa kunakitu kinaitwa ecology mahusiano kati ya viumbe husika,mtumishi akikosa haki yake ujue machinga hawezi kuuza shati lake LA elfu kumi pia machinga lazima akose kodi ya pango, mwenzi nyumba atashindwa kununua bati kma ni mwelewa umenielewa, kama hujaelewa basi wew ni mbishi
 
Serikali inahusika pia kwa namna moja au nyingine...

Ni kama kwenye nyumba, baba akiwa poa na watoto hunafaika...


Cc: mahondaw
 
Kumekua na hii tabia sasa kila mahali....mtu anapofeli katik mambo yake anaanza kusema serikal hii bwana,au hi yote ni CCM...tuache hio kasumba...mtu hata akikosa hela ya Kodi analalamikia serikali....kwa ss tuliona awamu kadhaa za madaraka hakuna utawala ambao haukua na lawama..huyu jk anaeonwa Leo alikua mzur watu walimponda pia...sasa tuache maneno tufanye kazi...tujitume..mafanikio yatakuja taratbu shida unakuta mtu amemaliz tu chuo anatak apate ajira..ajenge awe na gar na mtoto mzuri...wakat wengine tunakomaa na game tangu way back....kila kitu kinakuja taratbu tuu achen papara ya maisha Apo ndo mnapofel na lawama zinaanguka kwa serikali..wakati wewe ukipata laki unatak kwend kununua jeans ya kubana mapaja na kunywa pombe asubui anaanza kuilaumu serikal...
Sera mbovu mipango mibovu viongozi wasio na vision wala mission ndio chanzo kikubwa cha watanzania hata Wewe kuwa mafukara wakutupa huu ndio ukweli hata viongozi wako wakishatoka madarakani huliona hilo !!! Mfano sasa hivi wamekuja na sheria hakuna FAO LA kujitoa ,sasa jiulize ni watanzania wangapi wataadhitika!?? MTU kafanya kazi sekta binafsi kwa miaka Labda saba kampuni imempunguza kazini akiwa na miaka 27 au 30 anaambiwa asubiri mpaka miaka 55 je hii ni haki!?? Hebu angalia mikataba mibovu ilivyopitishwa na wabunge kwa staili ya ndioooooooo anaeumia ni nani!??angalia issue ya makinikia mnesaini wenyewe sasa mnaugeuka ,,he fidia ikija wakishinda kesi nani ataumia!?? Hebu ona elimu ilivyokufa shule za umma nani alaumiwe!??
 
Umezungumzia kukosa kodi ya nyumba kwani kodi ya nyumba ambayo ni kutoa pesa wap zinpatikana? Tatizo ni mfumo usio rafiki kwa wengi uwizi mwengi serikalini ukihoji unaonekana mchochezi vyama pinzani kunyanyaswa ambayo ndo hukemea hayo maovu wtumishi wa umma hawapati stahiki zao za msingi kama annual increments biashara kodi kubwa haziendani na uhalisia wa biashara. Halafu elewa kunakitu kinaitwa ecology mahusiano kati ya viumbe husika,mtumishi akikosa haki yake ujue machinga hawezi kuuza shati lake LA elfu kumi pia machinga lazima akose kodi ya pango, mwenzi nyumba atashindwa kununua bati kma ni mwelewa umenielewa, kama hujaelewa basi wew ni mbishi
So unahis ukipata FAO la kujitoa tuu basi mamb mazur..?heri we umawaz ilo FAO la ndan je wale walio kijiwen??
 
Hata Wewe unajina unajituma ni lofa WA kupindukia jamii forum ni kichaka wengi mnajificha mkijifanya mambo safi kumbe dhiki mpaka kwenye kinyeo
Mimi sio kama wewe karibu Moro uone nini nafanya mkuu,

Na sasa npo dodoma
 
Back
Top Bottom