Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,369
Ndio usasa huo,
life is too short my nigger.
Watu wamekua vichaa badala ya kuvaa nguo mpya wanavaa zilizochanika
Hahaha usinichonganishe na watu wa dini yaobritanicca njoo uone wavaa hijabu huku
Si ndio mnataka na wao wavae hivyo. Maana hapo hata mimba ya wiki moja inaonekana. Kuliko hijabu au zile nguo za masistaHahaha usinichonganishe na watu wa dini yao
Mm ukiniita my Nigger nakufurahishaNdio usasa huo,
life is too short my nigger.
Nowadays mambo yamebadilika,watu wanaoonekana wana akili timamu wanafanya mambo tofauti na ya ajabu kushinda "wehu"...imekuwa viceversa wendawazimu wanajistiri wanaoonekana wazima wanatembea uchi..