nsanzu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,389
- 4,815
Hapana, linakatwa katwa halafu linachemshwa, unakunywa maji yakelinaliwa kama tunda au chakula chief?
Hapana, linakatwa katwa halafu linachemshwa, unakunywa maji yakelinaliwa kama tunda au chakula chief?
kwahiyo ni dawa!!Hapana, linakatwa katwa halafu linachemshwa, unakunywa maji yake
Nyie wengine huwa mnafutia watu ban kiajabu ajabu kweli.kwahiyo ni dawa!!
au supu...kwamba kuna viungo unaongeza ili unywe?
Hii mwanangu ulimpata jamaa yetu mmoja. Tukakuta ameyapulua matunda yote! Shida ilikuja pale aliposahau tunda alilochanjia huku mkuyenge ukizidi kunona, alilia kama mtoto mdogo kabla hajapewa wazo la kupulua matunda yote! Sijui mashine ingekuwaje!!Kwa kabila la wamasaii huu mti unaitwa mlegea, tulikuwa tunachanja tunda dogo, then maji yake unayachanja kwenye mkuyange, kadri unavyozidi kukua ndvyo mkuyange unavyoongezeka, ikifika size yako unayotaka, unaenda kutoa lile tunda!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukichemsha maji yake yakikaa siku kama 2 yanakuwa na radha ya Pombe ya kienyeji. Yanakuwa na ka utamu fulani hivi!kwahiyo ni dawa!!
au supu...kwamba kuna viungo unaongeza ili unywe?
Hii lugha ya Kilimanjaro zaidiKwetu tunaita "Imomo" nadhani ndo uzuri wa kibantu kila mtu anaelewa kivyake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kigelia africana