Huu mti unaitwaje na Matumizi yake ni nini

HB.com

JF-Expert Member
Oct 19, 2015
607
638
Uzi tayari
KIG-AFR-3.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo mti sausage tree botanical knows Kigelia Africana. Moja ya matumizi yake ni kwenye kutengeneza pombe ya asali au Kangara ambapo ni pombe ya asili ya wamasai.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu!! Zamani miaka kama 80 iliyopita tulipokuwa wadogo watoto wa kike walikuwa wakifungia matunda ya Mti huo mgongoni kwa khanga wakiyaita "watoto" umenikumbusha mbali sana Mti huu ulikuwa jirani na home!!
 
Back
Top Bottom