Rene Jr.
JF-Expert Member
- Jan 31, 2014
- 3,704
- 2,350
Hili kweli ni shimo la choo mkuu, tena shimo lilojaa na bado linatumika, eti mti wa mikosi...mammae! Mtaani kwangu ipo kibao tu na watu wana amani zao, hapo nyumba ya pili umezeeka mpaka wameamua kuukata juu ukabaki kama mwamvuli wanapumzika chini ya kivuli lakini wako safi tu! Wewe mambo yako yakuendee kombo usingizie mti?Halafu tukiitwa shit shimo tunamaind
Kwahio mti ulienda kukopa
Mti ukaleta mgogoro
Mti ukauza nyumba
Hakuna sababu zingine kweli mnausingizia tu mti?
*mbaazi zikikauka.......*